Ningekuwa Mimi

Ningekuwa Mimi

Makongodcrue

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
1,864
Reaction score
2,566
Wanajamvi poleni na mihangaiko ya kila siku, mambo ni mengi kwenye nchi hii, hekaheka kibao, wengine wanafatilia kesi ya Lissu, wengine Bunge la Dodoma, wengine Bunge la Ulaya (EU), wengine Simba na Yanga, mambo ni Mengi.

Ungepata nafasi ya kuwa Rais wa Tanzania, ni mambo gani mazuri matano ungeyafanya ili ukumbukwe hata ukiwa kaburini?
 
1. Kufanya mwezi kama Natural satellite
2. Kuactivate Nyota ya Jupiter na Saturn ziwake kama jua ili kuyeyusha barafu sayar ya Neptune, pluto na Uranus.
3. Tanzania tutatengeneza Artificial ozone layer na kwenda kupandwa sayar nyingne.
4. Msisitizo kwenye Elimu ya Anga, wazungu wamepotosha sana. Sayar ziko 4 tu.
5. Kuactivate nyota ambazo haziko active (black holes).

Ni Sera za Rais wetu, sisi ni wajumbe tu.
min -me Shimba ya Buyenze MamaSamia2025 Tajiri Sina BAYA dosho12 imhotep
 
1. Kufanya mwezi kama Natural satellite
2. Kuactivate Nyota ya Jupiter na Saturn ziwake kama jua ili kuyeyusha barafu sayar ya Neptune, pluto na Uranus.
3. Tanzania tutatengeneza Artificial ozone layer na kwenda kupandwa sayar nyingne.
4. Msisitizo kwenye Elimu ya Anga, wazungu wamepotosha sana.
5. Kuactivate nyota ambazo haziko active (black holes).

Ni Sera za Rais wetu, sisi ni wajumbe tu.
min -me Shimba ya Buyenze MamaSamia2025 Tajiri Sina BAYA dosho12 imhotep
Tuone leo atakuja na sera gani 😄😄😄
 
1. Kufanya mwezi kama Natural satellite
2. Kuactivate Nyota ya Jupiter na Saturn ziwake kama jua ili kuyeyusha barafu sayar ya Neptune, pluto na Uranus.
3. Tanzania tutatengeneza Artificial ozone layer na kwenda kupandwa sayar nyingne.
4. Msisitizo kwenye Elimu ya Anga, wazungu wamepotosha sana. Sayar ziko 4 tu.
5. Kuactivate nyota ambazo haziko active (black holes).

Ni Sera za Rais wetu, sisi ni wajumbe tu.
min -me Shimba ya Buyenze MamaSamia2025 Tajiri Sina BAYA dosho12 imhotep
Tuone leo atakuja na sera gani 😄😄😄
Leo ningependa kuona sera yake kuhusu uwezekano wa kuwepo viumbe wengine wenye akili kama sisi (intelligent beings) katika sayari, galaxies na universes nyingine huko. Je, akiwa raisi atahakikishaje tunapata mawasiliano na viumbe hao (kama wapo) na jinsi tunavyoweza kufaidika nao kiteknolojia.

➡️➡️➡️ Dennis Roberts for president 2030 😂😂😂

20250508_084833.png
 
Leo ningependa kuona sera yake kuhusu uwezekano wa kuwepo viumbe wengine wenye akili kama sisi (intelligent beings) katika sayari, galaxies na universes nyingine huko. Je, akiwa raisi atahakikishaje tunapata mawasiliano na viumbe hao (kama wapo) na jinsi tunavyoweza kufaidika nao kiteknolojia.

➡️➡️➡️ Dennis Roberts for president 2030 😂😂😂

View attachment 3327564
Ningependa kuona hivyo pia, ila lazima kuwe na plot twist kwenye research zake😅😅😅
lazima atakuwa anapika materials sasa hivi,😁😁😁
 
Our future president aongeze na hili kuhusu Time Travel
 
1. Kufanya mwezi kama Natural satellite
2. Kuactivate Nyota ya Jupiter na Saturn ziwake kama jua ili kuyeyusha barafu sayar ya Neptune, pluto na Uranus.
3. Tanzania tutatengeneza Artificial ozone layer na kwenda kupandwa sayar nyingne.
4. Msisitizo kwenye Elimu ya Anga, wazungu wamepotosha sana. Sayar ziko 4 tu.
5. Kuactivate nyota ambazo haziko active (black holes).

Ni Sera za Rais wetu, sisi ni wajumbe tu.
min -me Shimba ya Buyenze MamaSamia2025 Tajiri Sina BAYA dosho12 imhotep
Nimefika mkuu sijasoma uzi lakini ni lazima ni wa Mr president.
Ngoja niusome.
 
1. Kufanya mwezi kama Natural satellite
2. Kuactivate Nyota ya Jupiter na Saturn ziwake kama jua ili kuyeyusha barafu sayar ya Neptune, pluto na Uranus.
3. Tanzania tutatengeneza Artificial ozone layer na kwenda kupandwa sayar nyingne.
4. Msisitizo kwenye Elimu ya Anga, wazungu wamepotosha sana. Sayar ziko 4 tu.
5. Kuactivate nyota ambazo haziko active (black holes).

Ni Sera za Rais wetu, sisi ni wajumbe tu.
min -me Shimba ya Buyenze MamaSamia2025 Tajiri Sina BAYA dosho12 imhotep
Duh kumbe sio yeye, nasoma sasa.
 
Wanajamvi poleni na mihangaiko ya kila siku, mambo ni mengi kwenye nchi hii, hekaheka kibao, wengine wanafatilia kesi ya Lissu, wengine Bunge la Dodoma, wengine Bunge la Ulaya (EU), wengine Simba na Yanga, mambo ni Mengi.

Ungepata nafasi ya kuwa Rais wa Tanzania, ni mambo gani mazuri matano ungeyafanya ili ukumbukwe hata ukiwa kaburini?
Ningefanya haya:
  1. Ningeondoa muundo wa MIKOA na WILAYA kuwa wa KANDA zisizozidi 6 na County zake na kila KANDA itakuwa na Serikali ndogo itayosimamia MAPATO yanayopatikana kwenye uzalishaji unaofanyika sehemu husika na yatumike hapo hapo (hii nchi kila MKOA ni TAJIRI ila tunauziwa uwoga na Mabwanyenye ). Hapo tunaondoa na RC, DC (machawa) na hawa VITI MAALUM (wagonga meza) na mambo ya MADIWANI tunakuwa na Bunge la KANDA tu.
  2. Ningevunja mikataba yote ya Uwekezaji wa Kitu chochote kinachopatikana katika ardhi ya Tanganyika.. Wageni iwe marufuku kujihusisha na Mali asili bali wawe wanunuzi kupitia TAASISI YA SERIKALI. Hata kama tukifunguliwa kesi kama zile za kukamatwa Ndege enzi ya Mwamba baada ya miaka michache hatutokopa tena wala kudaiwa.
  3. Elimu ni bure mpaka Chuo Kikuu maana huwezi kuwa unauza mali zako mwenyewe ushindwe kuwa na hela za kusomesha watu.
  4. Ningeufanya Usafiri wa Treni kuwa wa lazima nchi nzima kuunganisha miji yote Mikubwa.
  5. Ningeunga undugu wa kimkataba na CHINA wa kimanunuzi maana ni yeye pekee anayeweza kununua chochote kinacholishwa Tanganyika.
Correction:
Ningefanya mambo haya matano ili nikumbukwe hata baada ya maisha:


  1. Mageuzi ya Kiutawala: Ningeondoa mfumo wa mikoa na wilaya na kuanzisha KANDA zisizozidi sita, kila moja ikiwa na serikali yake ndogo itakayosimamia mapato yanayozalishwa ndani ya eneo lake na kuyawekeza hapo hapo. Hii itasaidia kutumia utajiri wa maeneo yote ya Tanzania kikamilifu na kwa haki.
  2. Ulinzi wa Rasilimali: Ningeifuta mikataba yote ya uwekezaji unaohusisha ardhi na mali asili za Tanganyika. Wageni hawataruhusiwa kumiliki au kuendesha shughuli katika sekta hizo bali watanunua kupitia taasisi maalum ya serikali. Rasilimali za taifa lazima ziwafaidishe Watanzania kwanza.
  3. Elimu Bure kwa Wote: Elimu kuanzia chekechea hadi chuo kikuu itakuwa bure. Taifa lenye rasilimali nyingi haliwezi kushindwa kuwapa wananchi wake maarifa ya kuyasimamia.
  4. Usafiri wa Treni wa Taifa: Ningeanzisha mfumo wa reli utakaounganisha miji mikuu yote Tanzania, ili kupunguza gharama za usafiri, kuongeza ufanisi wa biashara na kuunganisha wananchi.
  5. Ushirikiano wa Kibiashara wa Kimkakati: Ningeingia mkataba maalum na China kama mshirika wa kimkakati wa kibiashara, kwani ana uwezo wa kununua bidhaa nyingi kutoka Tanzania bila masharti magumu.
 
Kauli mbiu yangu ingekuwa.

"Kama nina baya semeni.."
WANANCHI
"Hauna baya presideeent "

1.
Ningeita vyombo vya habari na kutoa tamko na ombi kwa mwanadada MAMBISE aache kuchekesha, na huyu ndiyo angekuwa Fast Lady wenu.
Na anafanana au nasema uongo wananchi?

Screenshot_20250504_181436_Google.jpg


2. ningeajiri makampuni ya kigeni ambayo ningeyaweka kwenye kila kata kwa ajili ya kuwafulia masela ambao hawajaoa.

3. ningegawa elfu 21 kila wiki kwa wadada na wamama ambao hawana ajira kwenye serikali.

4. Ningejenga migahawa kwenye kila mtaa/kitongoji kwa ajili ya kulisha chakula bure kwa wananchi.

5. kila ambae ana koment 'Chai' humu jamii forums ninamtafuta kwa udi na uvumba na nikimpata hukumu yake ni kupigwa na nyanya mbovu kuanzia asubuhi mchana na jioni kwa siku saba mfululizo.

kama nina baya semeni...
 
Ningefanya haya:
  1. Ningeondoa muundo wa MIKOA na WILAYA kuwa wa KANDA zisizozidi 6 na County zake na kila KANDA itakuwa na Serikali ndogo itayosimamia MAPATO yanayopatikana kwenye uzalishaji unaofanyika sehemu husika na yatumike hapo hapo (hii nchi kila MKOA ni TAJIRI ila tunauziwa uwoga na Mabwanyenye ). Hapo tunaondoa na RC, DC (machawa) na hawa VITI MAALUM (wagonga meza) na mambo ya MADIWANI tunakuwa na Bunge la KANDA tu.
  2. Ningevunja mikataba yote ya Uwekezaji wa Kitu chochote kinachopatikana katika ardhi ya Tanganyika.. Wageni iwe marufuku kujihusisha na Mali asili bali wawe wanunuzi kupitia TAASISI YA SERIKALI. Hata kama tukifunguliwa kesi kama zile za kukamatwa Ndege enzi ya Mwamba baada ya miaka michache hatutokopa tena wala kudaiwa.
  3. Elimu ni bure mpaka Chuo Kikuu maana huwezi kuwa unauza mali zako mwenyewe ushindwe kuwa na hela za kusomesha watu.
  4. Ningeufanya Usafiri wa Treni kuwa wa lazima nchi nzima kuunganisha miji yote Mikubwa.
  5. Ningeunga undugu wa kimkataba na CHINA wa kimanunuzi maana ni yeye pekee anayeweza kununua chochote kinacholishwa Tanganyika.
Correction:
Ningefanya mambo haya matano ili nikumbukwe hata baada ya maisha:


  1. Mageuzi ya Kiutawala: Ningeondoa mfumo wa mikoa na wilaya na kuanzisha KANDA zisizozidi sita, kila moja ikiwa na serikali yake ndogo itakayosimamia mapato yanayozalishwa ndani ya eneo lake na kuyawekeza hapo hapo. Hii itasaidia kutumia utajiri wa maeneo yote ya Tanzania kikamilifu na kwa haki.
  2. Ulinzi wa Rasilimali: Ningeifuta mikataba yote ya uwekezaji unaohusisha ardhi na mali asili za Tanganyika. Wageni hawataruhusiwa kumiliki au kuendesha shughuli katika sekta hizo bali watanunua kupitia taasisi maalum ya serikali. Rasilimali za taifa lazima ziwafaidishe Watanzania kwanza.
  3. Elimu Bure kwa Wote: Elimu kuanzia chekechea hadi chuo kikuu itakuwa bure. Taifa lenye rasilimali nyingi haliwezi kushindwa kuwapa wananchi wake maarifa ya kuyasimamia.
  4. Usafiri wa Treni wa Taifa: Ningeanzisha mfumo wa reli utakaounganisha miji mikuu yote Tanzania, ili kupunguza gharama za usafiri, kuongeza ufanisi wa biashara na kuunganisha wananchi.
  5. Ushirikiano wa Kibiashara wa Kimkakati: Ningeingia mkataba maalum na China kama mshirika wa kimkakati wa kibiashara, kwani ana uwezo wa kununua bidhaa nyingi kutoka Tanzania bila masharti magumu.
Walio na access na mama wamfikishie haya mawazo. Ukitimiza hata nusu tu ya ajenda zako hizi utaacha legacy ya kukumbukwa vizazi na vizazi. Shida viongozi wetu wa Africa huwa hawawazi kuhusu legacy zao....
 
Kauli mbiu yangu ingekuwa.

"Kama nina baya semeni.."
WANANCHI
"Hauna baya presideeent "

1.
Ningeita vyombo vya habari na kutoa tamko na ombi kwa mwanadada MAMBISE aache kuchekesha, na huyu ndiyo angekuwa Fast Lady wenu.
Na anafanana au nasema uongo wananchi?

View attachment 3327883

2. ningeajiri makampuni ya kigeni ambayo ningeyaweka kwenye kila kata kwa ajili ya kuwafulia masela ambao hawajaoa.

3. ningegawa elfu 21 kila wiki kwa wadada na wamama ambao hawana ajira kwenye serikali.

4. Ningejenga migahawa kwenye kila mtaa/kitongoji kwa ajili ya kulisha chakula bure kwa wananchi.

5. kila ambae ana koment 'Chai' humu jamii forums ninamtafuta kwa udi na uvumba na nikimpata hukumu yake ni kupigwa na nyanya mbovu kuanzia asubuhi mchana na jioni kwa siku saba mfululizo.

kama nina baya semeni...
Wewe na mzee wa ubwabwa hamtofautiani sana. Una mabaya mengi tu ila kama hautafisadika wewe na washikaji zako kura yangu utapata!
 
Wanajamvi poleni na mihangaiko ya kila siku, mambo ni mengi kwenye nchi hii, hekaheka kibao, wengine wanafatilia kesi ya Lissu, wengine Bunge la Dodoma, wengine Bunge la Ulaya (EU), wengine Simba na Yanga, mambo ni Mengi.

Ungepata nafasi ya kuwa Rais wa Tanzania, ni mambo gani mazuri matano ungeyafanya ili ukumbukwe hata ukiwa kaburini?
Ningeipitisha katiba ya rasimu ya Warioba kuwa katiba rasmi ya nchi. Ningeiboresha sheria ya uchaguzi, ningeiboresha sheria ya vyama vya siasa, ningeiboresha sheria ya vyombo vya habari. Kisha ningbevunja muungano huu batili
 
Kauli mbiu yangu ingekuwa.

"Kama nina baya semeni.."
WANANCHI
"Hauna baya presideeent "

1.
Ningeita vyombo vya habari na kutoa tamko na ombi kwa mwanadada MAMBISE aache kuchekesha, na huyu ndiyo angekuwa Fast Lady wenu.
Na anafanana au nasema uongo wananchi?

View attachment 3327883

2. ningeajiri makampuni ya kigeni ambayo ningeyaweka kwenye kila kata kwa ajili ya kuwafulia masela ambao hawajaoa.

3. ningegawa elfu 21 kila wiki kwa wadada na wamama ambao hawana ajira kwenye serikali.

4. Ningejenga migahawa kwenye kila mtaa/kitongoji kwa ajili ya kulisha chakula bure kwa wananchi.

5. kila ambae ana koment 'Chai' humu jamii forums ninamtafuta kwa udi na uvumba na nikimpata hukumu yake ni kupigwa na nyanya mbovu kuanzia asubuhi mchana na jioni kwa siku saba mfululizo.

kama nina baya semeni...
Hauna baya Tajirii😄😄😄
 
Back
Top Bottom