Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,719
- 13,423
Wewe ni miongoni mwa wafuasi sugu wa mwanaCCM Lowasa, I Itakuwa ni maajabu wewe kuitakia mema CHADEMA ambao ni maadui wa CCM akiwemo Lowasa, kwa vyovyote vile, utapendekeza kitu ambacho kina madhara kwa CHADEMA! kwa hiyo wewe, kumpendekeza Kitila, ni ushahidi tosha kuwa alikuwa na madhara kwa chama, Period.
Mkuu Kyafulilo, japo mimi sio Chadema, ila kiukweli nimeguswa na andiko lako kiukweli kweli!.
Naamini kama Chadema ina watu kama wewe, then amini usiamini nyinyi ndio mtakuja kuikomboa Chadema na kuifanya ikabidhiwe nchi!.
Umeandika very bonafide and genuine concern kumhusu Dr. Kitila. My opinion ni Dr. Kitila is one of the best brains Chadema has ever had!. Naomba nisieleze machungu yang kwa maamuzi ya mihemiko na double standards za CC ya Chadema!. nimefarijika kujua kumbe Chadema in a some few real people, wise, humble wanamini in humility and forgiveness vs confrontations, hatred, kukomoana na kukomeshana!.
Kiukweli kama mtazamaji wa nje ya box, ule waraka ulikuwa ni kutengeneza a "winning coalition" ningependa wakosaji wote wahukumiwe kwa haki huku wakitendewa haki!.
Baada ya kuwatimua kina Shonza kinyeme cha sheria, taratibu na kanuni, niliwasisitiza Wito: CHADEMA Watendeeni Haki Wanachama Wenu Ili Kuwatendea haki Watanzania...
Ubarikiwe sana!.
Pasco