Ningekuambia ukweli ungenikubali ?

Ningekuambia ukweli ungenikubali ?

Mbishi 4 real

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
640
Reaction score
655
Kuna haka kajitabia ka wakina dada ambapo mara baada ya kugundua kwamba una mke anaanza kukulaumu na kuuliza hili swali "Kwanini hukuniambia ukweli toka awali ?" kitu ambacho ni kigumu sana kwa asilimia kubwa ya sisi wanaume kumwambia ukweli msichana kwamba uko kwenye mahusiano na mtu mwingine huku na yeye ukiwa unamuhitaji.

Wadada mtuvumilie tu mana sio kwamba tunashindwa kuwaambia ukweli ila tatizo mkiambiwa ukweli kabla ya kupigwa tukio huwa mnaleta malingo sana na mbwembwe lukuki.

Najua nikikuambia ukweli huwezi nikubalia ombi langu na hii dhana iko kwa wadada wengi sana,ukimwambia ukweli mapema ni kama umepuliza kipenga cha kumfanya yeye aanze mbio za Marathon mapemaaaaaa.

Mtuvumilie tu wakina dada mana hata siku moja usitegemee utaambiwa ukweli kabla hujavuliwa naniliu....ni wanaume wachache sana ambao wataweza kukuambia ukweli kwamba yupo kwenye another relationship kabla hajakugegeda.

I`m Out
 
Ukweli unauma bro....ukisha mtafuna Ndola unamchana ukweli Kuwa me nna familia ila jaman tuifanye dunia Kuwa sehemu salama ucmpotezee mtu mda kwa mauongo yenu ayo.....
 
mmh hv unajua kuna wimbi kubwa sana la wanawake wanaotembea na waume za watu tena wakijua kabisaaa kwamba yule kaoa? tena wengine wanajitongozesha wenyewe, na akiwa hajaoa ndo kabisaaaa wala hawajiulizi mara mbili anakwambia kila mtu na bahati yake na yeye anajitosa bila wasi wasi kujaribu bahati yake labda yeye ndo atavaa shela. So muwege tu wakweli huo ulimwengu wa kukataliwa kisa sijui mpo kwenye ndoa au mahusiano si ulimwengu huu tulionao
 
Ukitaka uwe single au usikule watoto wakali basi jifanye mlokole wa kuwa mkweli kwenye kila kitu kwa hawa wadada wakileo. Sometime mwanaume inabd ujifanye hata unafanya kazi BOT ili utimize lako.. maana dada zetu wamegoma kabsa kukubaliana na wasema ukweli kwenye mahusiano.
 
Mi huwa nasema ukweli tu nimeoa nina watoto na ninampenda mke wangu. Akikataa nashukuru ameniepusha na mengi, lakini lazima ukweli usemwe tu hata kama unauma.
 
Back
Top Bottom