Slave
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 5,314
- 2,635
Vitabu vya namna ya ufugaji samaki,kuanzia uchimbaji bwawa,ulishaji,urutubishaji bwawa mpaka namna ya uvuaji,vitabu hivi nina vihitaji hasa vya kiswahili, nasikia kuna chuo kikuu kimoja hapa tanzania waliwahi kutoa/kuchapa kitabu cha namna hiyo,hivyo kama kuna yeyote anafahamu basi anielekeze,