Sioni tofauti ya kimatendo na kimawazo kati yenu na huyo mnayemuhukumu.yaonyesha hata nyinyi mngepata nafasi yake kwa matamshi yenu dhidi yake mngekuwa wabaya wabaya kuliko hata yeye mnayemtuhumu bila ushahidi.binafsi nashangazwa nanyi maana aliyetendwa amenyamaza kimyaaaa.na kimyaaa kina majibu mengi yakiwemo haya- watesaji wake anawajua au hawajui, au wakati wanamtesa walimwambia ukiendelea kuropoka tutakutenda tena.