Ninavyomjua Hemedi Msangi

Mke wake anaitwa Ummy alikuwa akifanyakazi ZANTAS kampuni ya ndege ndogo za kukodisha na kusafirisha watalii uwanja wa ndege Arusha.Bibie Ummy ni chotara wa kiIraq mwanamama mwenye roho nzuri sijui alikutana wapi na jambazi ACP Hemed Msangi.Mwezi May alifanyiwa party ya kuagwa na watumishi wote wa uwanja wa ndege Arusha baada ya kuacha kazi kwa shinikizo la mume wake.


 
ACP Ahmed Msangi tunaomba uje hapa jamvini ujibu hizi shutuma.kwanini ulimteka daktari ulimboka na kumtesa?
 
Kwani Ulimboka amekufa? au unamtabiria kifo?

Ndugu acha shutuma ambazo huwezi kuzi substantiate.
We kijana nimekustukia lazima utakuwa ndiye msangi mwenyewe, ama miongoni mwa maafande wakatili. Nimekuwa nikifuatilia sana posts zako kwa makini
 

Mimi nilikuwa A-coy
 
nini jamani maana ya maneneo hayo katika mabano ambayo yana mtumia huyu msangi kuua?(EL, RA, AC)


Miaka yoote ulikuwa Facebook umejifunza nini mpaka sasa unakuja kutusumbua hapa?
Aaah
 
Ahmed Msangi ni kijana muungwana na mstaarabu ninayemfahamu toka ujana tukiwa Kigurunyembe Morogoro. Napata shida na tabu kwamba anaweza shiriki ushenzi kama huo... Kama anachafuliwa inabidi afanye jitihada kubwa kujisafisha na uchafu huu!
 
Huu uzi ni wa muhimu sana. Kwani tunahitaji details za huyu mtu kiundani zaidi.

Je ana watoto na kama anao wanasoma shule gani? Mke wake anaishi Arusha sehemu gani? na shughuli zake ni zipi?

Naomba mwenye majibu ya maswali haya atusaidie tafadhali

Hapo sasa jino kwa jino mi simo kabisaa aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Mkuu wangu,kwanza niseme ninavyomfahamu Ahmed sijui kama ameshiriki huu ukatili ama anasingiziwa.. Mke wake ni dada mstaraabu sana. Na ktk incidence mbaya,wakati wa machafuko ya Arusha mwaka jana,mama mkwe wake alipigwa risasi akiwa nje ya nyumba yake akiwaita wajuu waingie ndani! Alikimbizwa Selian hospital,na nasikia baadaye Aga Khan Nairobi....!
 
Jamani tuwe na ubinadam km Mhusika anajulikana si ashughulikiwe yeye,familia yake inahusikaje hapo.Si ajabu huyo demu wake maskn hata hajui mumewe anachokifanya.ahusike mwenyewe pls msifikirie kutesa familia yake
kwani familia ya Ullimboka haihusiki na mateso yanayompata ndugu yao?? watu wameacha kazi kwenda kuuguza, utatakaje fair play in unfair environment??

wataje tu hata bibi zake, vibwengo wake wa dar na arusha poa tu

SI TUSHAAMBIWA LIWALO NA LIWE?
 
kwani familia ya Ullimboka haihusiki na mateso yanayompata ndugu yao?? watu wameacha kazi kwenda kuuguza, utatakaje fair play in unfair environment??

wataje tu hata bibi zake, vibwengo wake wa dar na arusha poa tu

SI TUSHAAMBIWA LIWALO NA LIWE?

mkuu wangu msalaba huu umemwelea Msangi,ingawa inaonekana yeye alipewa amri.. Kama yeye hausiki basi kuna watu tayari wamejipanga kumvisha kitanzi. Inasikitisha vijana kuharibiana future yao namna hii.
 
Wakuu wekeni details na kila kuhusu huyu Ahmed

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Wenye details wazianike hapa haraka haraka kabla huyu Bi Kiroboto hajaja hapa nakuzuia mjadala kwamba swala hili lipo Mahakamani!!
 
Hemed ni katili, alipokuwa usa river aliwatumia mahabusu na wafungwa kujenga nyumba yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…