Ninavyoimudu ndoa ya Wake Wawili

Unakosa uzalendo chief
1 Timotheo 2:1-2

Basi, kabla ya mambo yote, nataka dua, na sala, na maombezi, na shukrani, zifanyike kwa ajili ya watu wote; kwa ajili ya wafalme na wote wenye mamlaka, tuishi maisha ya utulivu na amani, katika utauwa wote na ustahivu.

Huo ndio uzalendo period
 
Unakosa uzalendo chief
1 Timotheo 2:1-2

Basi, kabla ya mambo yote, nataka dua, na sala, na maombezi, na shukrani, zifanyike kwa ajili ya watu wote; kwa ajili ya wafalme na wote wenye mamlaka, tuishi maisha ya utulivu na amani, katika utauwa wote na ustahivu.

Huo ndio uzalendo period
 
Huwezi kuwapenda equally. Be honest with yourself.
 
Naomba nikuoe kama bmdogo
 
Means uko tayari kuwa bi mdogo mkuu?
 
Hao Wake zako Wametokea KONDOA??? ,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
 
Wakristo kwa unafiki hatujambo.
 
Mara nyingi ukitaka kitu binaadamu anaweza akakisifia vile anaweza mimi siku nitakapoacha kupenda wanawake nitaoa watatu!!..
 
Hayo yanaitwa Matumaini ya Mgonjwa.
Sema Mimi ni Mnafiki sio wakristo. Halafu tengneza kaDini kako kanakoitwa ukristo ulioboreshwa halafu unamuweka Nabii tito awe askofu wako.

Hapo utaruhusiwa hata kuoa wa jinsia moja.
Wakristo kwa unafiki hatujambo.
 
Dini zilizokuja na meli hizi Ni shida sana.
Wanaume tutafuteni pesa tu, unaweza kuishi vile unavyotaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…