Acha kudanganya watu. Hiyo ni harier ya 2001 na sio lexus na sio ya 2011. Harrier ya 2011 ni tofauti kabisa. Bei hiyo ni sawa kwa harrier ya 2001 au 2002.
Yaani we jamaa haujui kudanganya,gari aina hiyo ya 2011 kwa 21m?
Halafu gari imetembea km 600 au ulikuwa inaifanyia biashara ya kusafirishia abiria.
Hilo gari limezeeka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.