Toyota harrier lexus 4 linauzwa milion 21, gari limeshatembea km 600 tu , limetengenezwa mwaka 2013, limeshalipiwa kodi zote pamoja na bima.mawasiliano 0713-377066
Hii gari sio model ya mwaka 2013 bhana, hiyo ya 1999.....alaf bei mmmmh
Hapo umenena mzee!!! kitu ya last year kwa 21m upate wapi inchi hiiKm 600 tangia lifike bongo excluding za japan? Au odometer inasoma 600km? Ni 2003 au 2013? Gari ya 2013 Toyota hata kama vitz hauwezi pata kwa bei rahisi ya 21m.