Ninauza Tiles za Tanga stone

Ninauza Tiles za Tanga stone

Nimekupata mkuu Masanja....napatikana hapa 0766111711

Mdogo wangu fanya business kisomi. Utafanikiwa. Yaani hapa ingebidi uwe umeshajaza thread kwa kusumbua watu wakutafute. Hebu bandika picha za mawe uliyonayo. Morogoro uko sehemu gani? Nikihitaji una uwezo WA kussuply what amount? Nitakutafuta.

waTanzania wengi hatujawa serious au aggressive in doing business.

Kuwa na Kiu ya mafanikio.

Change your approach utaniambia.
 
Mdogo wangu fanya business kisomi. Utafanikiwa. Yaani hapa ingebidi uwe umeshajaza thread kwa kusumbua watu wakutafute. Hebu bandika picha za mawe uliyonayo. Morogoro uko sehemu gani? Nikihitaji una uwezo WA kussuply what amount? Nitakutafuta.

waTanzania wengi hatujawa serious au aggressive in doing business.

Kuwa na Kiu ya mafanikio.

Change your approach utaniambia.
Wacha nianze kumwaga Vitu, thanx kaka
 
Hivi kuna Tanga stones tu? naona siku hiz kuna tiles zinafanana na Tanga stone, Wajuzi mtuelimishe kuhusu haya mawe na kama bado yapo kwa trend au kuna jipya sokoni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom