Ninauza Tiles za Tanga stone

Ninauza Tiles za Tanga stone

mawe craft

Member
Joined
Mar 10, 2015
Posts
24
Reaction score
9
Habari zenu wandugu?
Ninazo tiles zitokanazo na mawe halisi ya Tanga stone (slate stone) yanapatikana kwa kiasi chochote na ninauza kwa squre meter.
Vile vile ninapokea oder kwa design (cutting style) yeyote mteja atakayo itaka, tunakusafirishia popote ulipo Tanzania
 
How much per square metre kwa mtu wa dar?
 
Habari zenu wandugu?
Ninazo tiles zitokanazo na mawe halisi ya Tanga stone (slate stone) yanapatikana kwa kiasi chochote na ninauza kwa squre meter.
Vile vile ninapokea oder kwa design (cutting style) yeyote mteja atakayo itaka, tunakusafirishia popote ulipo Tanzania
Ni habari njema,bei zipoje? Ofisi kuu ipo wapi? Ikiwezekana weka picha ya Tiles zenyewe na samples za nyumba zenye hizo tiles,
 
Nawa wekea picha soon wandugu, ofisi kuu ipo Morogoro na ofisi ndogo Tanga( japo ndipo nitowapo malighafi)squre meter moja nauza kwa Tsh 25,000
 

Attachments

  • s 1.jpg
    s 1.jpg
    795.6 KB · Views: 701
  • s 6.jpg
    s 6.jpg
    38.2 KB · Views: 870
  • s 5.jpg
    s 5.jpg
    41.6 KB · Views: 796
Habari zenu wandugu?
Ninazo tiles zitokanazo na mawe halisi ya Tanga stone (slate stone) yanapatikana kwa kiasi chochote na ninauza kwa squre meter.
Vile vile ninapokea oder kwa design (cutting style) yeyote mteja atakayo itaka, tunakusafirishia popote ulipo Tanzania
Mfano Dar kumpelekea mteja inaanzia mzigo wa mita ngapi za mraba?
 
Habari zenu wandugu?
Ninazo tiles zitokanazo na mawe halisi ya Tanga stone (slate stone) yanapatikana kwa kiasi chochote na ninauza kwa squre meter.
Vile vile ninapokea oder kwa design (cutting style) yeyote mteja atakayo itaka, tunakusafirishia popote ulipo Tanzania
Ndg vyema uweke no yako.
 
Tu
Kwa Dar tutakuletea kuanzia SqM 30 boss

Mkuu fanya biashara ya kisomi. Mpaka hapa naona wigo mkubwa wa biashara. But hujaweka contacts zako..uweke picha za mzigo ulionao....ujibu maswali ya wadau humu....jamani fellow Tanzanians tuamke! Huwezi kufanya biashara kwa approach hii ukatoboa. Never.
 
Mkuu fanya biashara ya kisomi. Mpaka hapa naona wigo mkubwa wa biashara. But hujaweka contacts zako..uweke picha za mzigo ulionao....ujibu maswali ya wadau humu....jamani fellow Tanzanians tuamke! Huwezi kufanya biashara kwa approach hii ukatoboa. Never.
Nimekupata mkuu Masanja....napatikana hapa 0766111711
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom