Salaam wadau,
Ninauza shamba la miti ya nguzo yenye umri wa mwaka mmoja.
Heka 25, jumla ya miti 20,000.
Shamba lipo Mufindi eneo linaitwa Mapanda, njia ya kuelekea bwawa la Kihansi.
Shamba ni la kwangu na ninaliuza kwakuwa nina hitaji la dharura la fedha.
Bei ni Ths. 680,000 kwa hekari moja (bei ya heka moja iliyooteshwa miti si chini ya Shs. 800,000).
Ninauza kwa bei ya offer kwa ajili ya dharura niliyonayo.
Mwenye kuhitaji ani PM kwa maongezi zaidi
Ninauza shamba la miti ya nguzo yenye umri wa mwaka mmoja.
Heka 25, jumla ya miti 20,000.
Shamba lipo Mufindi eneo linaitwa Mapanda, njia ya kuelekea bwawa la Kihansi.
Shamba ni la kwangu na ninaliuza kwakuwa nina hitaji la dharura la fedha.
Bei ni Ths. 680,000 kwa hekari moja (bei ya heka moja iliyooteshwa miti si chini ya Shs. 800,000).
Ninauza kwa bei ya offer kwa ajili ya dharura niliyonayo.
Mwenye kuhitaji ani PM kwa maongezi zaidi