Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,730
- 536
Wadau, salaam! Ninauza kisimbuzi cha Startimes kile walichoingiza sokoni kwa mara ya kwanza wakati wa Kombe la Dunia South Africa mwaka 2008. Mtakumbuka wakati ule walituuzia shilingi 70,000/- .
Bei ninayouza ni Tsh 40,000/- tu. Kisimbuzi kinafanya kazi na hakijawahi kufunguliwa wala kufanyiwa marengenezo yoyote. Ni visimbuzi imara sana tofauti na hivi wanavyotuuzia sasa .
Mawasiliano 0787377511/ 0719055711.
Bei ninayouza ni Tsh 40,000/- tu. Kisimbuzi kinafanya kazi na hakijawahi kufunguliwa wala kufanyiwa marengenezo yoyote. Ni visimbuzi imara sana tofauti na hivi wanavyotuuzia sasa .
Mawasiliano 0787377511/ 0719055711.