Ninatoa Icloud kwenye simu za Iphone

Ikiwezekana maana yake na system ya icloud imekufa! Any jailbroken apple devices hazilindwi na apple tena! Kwa maana nyingine kama goal yako ni usalama basi simu yako si salama tena.
 
Ikiwezekana maana yake na system ya icloud imekufa! Any jailbroken apple devices hazilindwi na apple tena! Kwa maana nyingine kama goal yako ni usalama basi simu yako si salama tena.

Wanao waza kuwa icloud inawezekana kutolewa kirahisi wengi wao sio watumiaji wa apple device na kama anatumia bas kuanzia iphone 4 kushuka chini na alinunua ya wizi
Lakini kwa watumiaji wa iphone na wanao zijua iphone lazima akuambie ni ngumu kutoa.
Kwa uwakika zaid angalia wote walio changia kuwa inawezekana kutoa icloud na angalia wamechangia nin juu ya mada TECNO NI SIMU BORA utaona wanavyo zisifia
Wanajua ubora wa tecno na sio iphone
 
Kumbe hata maana ya icloud huijui mkuu.
hivi unajua kwenye icloud unaweza tumia email yoyote mfano mimi natumia email yangu ya gmail kwenye iphone kote kushusha apps as apple id na kama username ya icloud account?
umeona ehee sasa maana ya icloud ajui anasema n email
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] poooovu
 
zinatolewa tu
Sifa moja ya hacker ni kujua kitu anacho hack system yake inafanyaje kazi.
Sasa wewe hata icloud ulikuwa hujui ni nini hasa unachanganya apple ID na icloud sasa mashaka ni kwamba utawezaje kutoa hiyo icloud wakati hata kuielewa unaielewa tofauti.
Ila kama ukifanikiwa piga ela
 
sema kutoka zinatoka ila jpm akigundua dili langu hili segerea itaniita
 
Unaposema sio jambo dogo utaendelea kumpa moyo wa kupambana, mwambie tu kuwa kwa yeye HATOWEZA.
 
iCloud locked iko hata kwa Iphone 4, then only thing kuhusu iphone 4 ni kuwa huwezi upgrade to IOS 7 and other higher version
sio kweli kasome tena ulikosoma...
 
Usiibiwe ndugu. mi ni mtundu sana kwenye simu ila icloud haitoki kirahisi na kama ukiweza kuendana na vigezo vya kuitoa bei yake ni ghali sana na inafanywa na wafanyakazi wa apple wenye maduka yao binafsi ya simu na ufundi. Ukilinganisha gharama ya kutoa icloud, ni bora ununue simu mpya coz bei inaweza kuwa sawa na simu mpya or hata zaidi ya bei ya simu yenyewe. Ninauza spea za iphone kibao nilikua nazo hapa zilizofungwa na icloud. Kama unahitaji spea nicheck. Sasa nina iphone 5s,5c na 6plus.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…