Ila lawama apewe magu kwa kufanya maisha kuwa magumu!!OFFER....OFFER...
nahitaji mwenye Iphone ina icloud namutolea kwa bei ya 20000 tu nikiwa katika majaribio baada ya kuhitimu mafunzo ya IT![]()



huu wizi... labda simu inayotumika na mhusika kusahau password ya ID hapo nakubali inaweza kutoka.sana watu wengi huwa wanakurupuka kama fbi walikurupuka naoInatoka hiyo ila inahitaji umakini tu.
hakika mkuuhakuna lisilowezekana chini ya jua
Wabongo bana,kinachotakiwa muombe jamaa muumganishe nguvu mfanye kitu..sana watu wengi huwa wanakurupuka kama fbi walikurupuka nao
Hahaha raphael unachekesha, yani simu inaomba Apple Id ukiiwasha unaweza kuitoa??huu wizi... labda simu inayotumika na mhusika kusahau password ya ID hapo nakubali inaweza kutoka.
nawezaHahaha raphael unachekesha, yani simu inaomba Apple Id ukiiwasha unaweza kuitoa??huu wizi... labda simu inayotumika na mhusika kusahau password ya ID hapo nakubali inaweza kutoka.
naweza





hivi munaona iphone kama ni smu ya ajabu ni smu yakawaida wengi wenu munaogopa hadi kuzinunua![]()
....kama umeweza kuitoa njoo tufungue ofisi tujadiliane na percentage inakuaje then issue ya wateja na bei niachie mimi
Kama Unaweza pia kuhusu insta followers naomba unambie, nahitaj Acc yenye zaid ya 200k
Nafanyaje mkuuHiyo rahisi mbona hata wewe unaweza