Ninatengeneza studio za redi na muziki

Nina nia ya kuanzisha redio ya jamii hapa kwenu hivi karibuni.Nipatie mwanga wa mahitaji na gharama zake!
 
Unazo information Nzuri sana kwenye Blog yako ila Nadhani hujui ni nani unamlenga, Kwa mfano naona kuna sehemu umeonyesha jinsi Fiberoptic inavofanya kazi ila umeweka picha tu sasa Hapo sijui imekaaje

Kumbua a Good Infrmation should meet at least one tree of the following:
Correctness
Completeness
Integrity

Nadhani unazijua,

Alafu kama Vipi tumia Kiingereza tu coz naona Kuna baadhi ya mambo unayaandika kwa kiswahili but kuna makosa,
Personaly napenda sna vitu ulivoviweka kwani ndo interest zangu!.
Naomba kila picha uwe unasema ni kitu gani na kinafanya kazi gani na sifa yake, Yani info ziko pale but hazijakamilika

Safi sana!
 
Politics at work. Si kila kitu lazima utoe comment.

Jamaa anatengeneza,nadhani lugha inajieleza. WANATENGENEZA

Nimecheka sana coz u r trying to walk on my shoes!, Kutengeneza haipo Complete hata kidogo,

Anatengeneza vifaa vya studio ?
Yeye anakiwanda cha kutengenezea studio??
Anafanya repair ya Vifaaa vya Studio??

Au anafanya na Kutoa ushauri jinsi ya kuanzisha Studio (Consultant)?
Aisee tena nadhani umekurupuka sana kusoma comment yangu.
Tembelea hiyo link ya blog yake! alafu angali then toa Comment

Kama Ni politics poa, ila kama ni haki yangu kukoment ungenielewesha tu, hakuna politics hapa!, tunawekana Sawa!
 
Kwa wale wanyenia ya kumiliki Studio kwa ajili ya Kituo cha Redio au kurekodi na kuhariri video wanaweza sasa kuwasiliana na mimi +255 784 582039

DIGKAZI
Asante

Nimetembelea blogspot yako.unachofanya mimi nimeshindwa kukuelewa kabisa
Nadhani una tatizo la namna ya kufanya marketing ya unachofanya.
unatuwekea kuwa vifaa hivi vinfanya hiki na kile kwa hiyo?
Nafikiri omba msaada wa watu wa marketing wakusaidie na mpangilo wa post zako kwenye blog yako hazieleweki kabisa.

Mimi nilivutiwa na namna ya kutengenezewa studio ya kuhariri video katika post yako hapa JF lakini nilipokwenda katika blog yako nisome zaidi sikuona kitu bali nimeona picha za video camera za kisasa tu.

Kuwa wazi mkubwa ili Huweze kupata kazi,tunakuhitaji sana
Karibu
 
Politics at work. Si kila kitu lazima utoe comment.

Jamaa anatengeneza,nadhani lugha inajieleza. WANATENGENEZA

Soma tena huo post kaka, Hiyo lugha haijielezi na haieleweki kabsaa; Anatengeneza nini katika Studio za Redio?
Je, yeye ni interior designer anadesign na kuteneneza setup ya ndani?
Je, yeye ni carpenter anaimpliment kazi za studio interior designer?
Je, yeye anafanya setup ya mitambo ya kurushia matangazo?
Kuna posibilities nyingi sana katika hapo: Akiulizwa wewe unasema Politics Dah!
 
Back
Top Bottom