mashambani kwao
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 370
- 56
naomba kuwasilisha.
Waulize Waarabu wa huko Bagamoyo wataweza kukupatia hiyo (Harmali) au kaulize kwenye maduka wanayouza Madawa ya kiarabu utapat hiyo Harmali ungelikuwa upo Dar ningelikuambia uende Sokoni Kariakoo Mtaa wa pemba kuna wauza Madawa za kiarabu wangelikupatia hiyo (Harmali) mashambani kwaomzizimkavu asante kwa ushauri wako,lakini naomba niulize hiyo *harmal* nitapata wapi mimi nipo bagamoyo.