Habari ndugu zangu,
Nina umri 23, nimepata tatizo la maumivu makali ya nyonga (kiuno). Nimesha fika hospitali zaidi ya mara 2 na nimetumia dawa za vidonge na kuchua, pia hua zinapunguza maumivu kwa muda tu ila yanarudi na xrays nimepiga sina tatuzo lolote.
Tangu niumwe ni miezi 7 sasa na sijui nawezaje kupona, mwenye ushauri au kujua dawa naomba mnisaidie ndugu zangu.
Nina umri 23, nimepata tatizo la maumivu makali ya nyonga (kiuno). Nimesha fika hospitali zaidi ya mara 2 na nimetumia dawa za vidonge na kuchua, pia hua zinapunguza maumivu kwa muda tu ila yanarudi na xrays nimepiga sina tatuzo lolote.
Tangu niumwe ni miezi 7 sasa na sijui nawezaje kupona, mwenye ushauri au kujua dawa naomba mnisaidie ndugu zangu.