Ninatamani kurudi kwake...

Unajua watu kama nyie mnafurahisha sana. Na mabaya yazid kuwapata tu. Unamuacha mtoto watu na kuuvunja moyo wake, leo unasema unataka kurudi... no way man. You fuked up thats it...

Binafsi ningekupa mbinu ya kumrudisha ambayo ni effective..lakin i swear ulivyomuacha hiyo.mbinu sikupi.
 
Wakati Unamuacha Ulikua Na Miaka Mingapi?

Ila Kumamaezenu Watu Kama Nyie Mnatuharibia Mno Kwa Mabinti Tunaonekana Hatuna Maana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…