Ninataka kufungua duka la vitabu (book shop) Nina 5M, naomba ushauri

Andrew john

Senior Member
Mar 10, 2009
110
121
Habari za asubuhi wana jamii forum. Nataka kufanya biashara ya kuuza vitabu vya shule kwa ngazi zote. Kuanzia nursery mpaka secondary ila sijajua sehemu ya kuvipata kwa jumla na pia mtaji wake. Mimi nategemea kuanza na 5million na nitakuwa mbeya.
 
Habari za asubuhi wana jamii forum. Nataka kufanya biashara ya kuuza vitabu vya shule kwa ngazi zote. Kuanzia nursery mpaka secondary ila sijajua sehemu ya kuvipata kwa jumla na pia mtaji wake. Mimi nategemea kuanza na 5million na nitakuwa mbeya.
Ni biashara nzur, sina uzoefu nayo kwa sana lakini ni mdau ktk sekta hiyo, changamoto kubwa niionayo nikuwa, hiyo ni biashara ya misimu, haswa pale unaposhughulika na vitabu vya wanafunzi, utakuja kuona kuwa mauzo makubwa yapo miezi ya January-February, baada ya hapo mauzo huwa yanashuka kwa zaidi ya aslimia 80, inabidi ujiandae kwa hilo
 
Mkuu kuwa wakala hizi BETTING huko ndio kuna pesa sana. Huku kwingine si umesikia kila kitu bure na serikali imepiga chini vitabu vinavyochapishwa na sekta binafsi (I stand to be corrected) sasa wazazi wengi wamebweteka hivyo usitegemee wateja kiviile
 
Habari za asubuhi wana jamii forum. Nataka kufanya biashara ya kuuza vitabu vya shule kwa ngazi zote. Kuanzia nursery mpaka secondary ila sijajua sehemu ya kuvipata kwa jumla na pia mtaji wake. Mimi nategemea kuanza na 5million na nitakuwa mbeya.
Mkuu kwanini usiwekeze kwenye kilimo.
 
Inatia huruma kuona kuwa vitabu havipewei kipaumbele na watanzaniai wengi. Ningekushauri uwasiliane na wachapaji (publishers) kama Mkuki na Nyota, Tanzania Educational Publishers (TEPU), Oxford University Press, Mture Educational Publishers, E&D publishers, nk Hawa ni wakongwe katika biashara ya vitabu na watakupa ushauri mzuri zaidi.

Sijajua utakuwa Mbeya sehemu gani. Ila kama ni mjini au sehemu karibu na hoteli za kitalii unaweza ukafanya biashara yako kwa namna mbili. Moja ukawa unasupply vitabu vya kiada moja kwa moja mashuleni, kwa kuwa ni vya msimu. Unachukua oda za vitabu halafu unawasiliana na wachapaji wanakupa kwa bei ya jumla. Hii unaweza kufanya hata nje ya mkoa. Pili, unaweza kuanzisha mgahawa wa vitabu kama biashara ya kwanza italipa vizuri na hii itafidia msimu wa mauzo ya biashara ya kwanza ukipita. Mgahawa tafutia karibu na hoteli au vivutio vya kitalii mjini. Unaweka vitabu vya riwaya, guide books and brochures, vitabu vya kujifunza lugha, vitabu kuhusu tamaduni mbalimbali, vitabu vya hadithi vya watoto, nk. Unahakikisha mgahawa wako unakuwa na kahawa nzuri kwa namna mbalimbali, na aina mbali mbali za chai, juisi, na vitafunwa pia. Ukiweza unaweka WiFi na computer kama mbili za kutumia wateja.

inaweza kukuchukua muda kuwekeza kwenye wazo la pili lakini soma maeneo na pia pata ushauri kwa wafanyabiashara wengine wanaofanya biashara kama hii mikoa mingine. Kila la kheri!
 
Inatia huruma kuona kuwa vitabu havipewei kipaumbele na watanzaniai wengi. Ningekushauri uwasiliane na wachapaji (publishers) kama Mkuki na Nyota, Tanzania Educational Publishers (TEPU), Oxford University Press, Mture Educational Publishers, E&D publishers, nk Hawa ni wakongwe katika biashara ya vitabu na watakupa ushauri mzuri zaidi.

Sijajua utakuwa Mbeya sehemu gani. Ila kama ni mjini au sehemu karibu na hoteli za kitalii unaweza ukafanya biashara yako kwa namna mbili. Moja ukawa unasupply vitabu vya kiada moja kwa moja mashuleni, kwa kuwa ni vya msimu. Unachukua oda za vitabu halafu unawasiliana na wachapaji wanakupa kwa bei ya jumla. Hii unaweza kufanya hata nje ya mkoa. Pili, unaweza kuanzisha mgahawa wa vitabu kama biashara ya kwanza italipa vizuri na hii itafidia msimu wa mauzo ya biashara ya kwanza ukipita. Mgahawa tafutia karibu na hoteli au vivutio vya kitalii mjini. Unaweka vitabu vya riwaya, guide books and brochures, vitabu vya kujifunza lugha, vitabu kuhusu tamaduni mbalimbali, vitabu vya hadithi vya watoto, nk. Unahakikisha mgahawa wako unakuwa na kahawa nzuri kwa namna mbalimbali, na aina mbali mbali za chai, juisi, na vitafunwa pia. Ukiweza unaweka WiFi na computer kama mbili za kutumia wateja.

inaweza kukuchukua muda kuwekeza kwenye wazo la pili lakini soma maeneo na pia pata ushauri kwa wafanyabiashara wengine wanaofanya biashara kama hii mikoa mingine. Kila la kheri!
Mbeya inapokea wageni/watalii kiasi gani? Hivi unajua Mbeya inazidiwa hata na Kilwa ama Bagamoyo kwa watalii. Vitabu achana navyo ndugu. Fungua ama ofisi ya kubet mpira wa ulaya au SHISHA au uuze magazeti ya udaku.
 
Kwa hyo hela ana uwezo wa kufanya kilimo cha kisasa cha umwagiliaji na akapata matokeo mazuri kabisa, enzi za kutegemea mvua zimepitwa na wakati.
Mashamba ya kukodi au kununua yapo maeneo mbali mbali, so nashauri ufanye research then utafute eneo ulime kwa kutumia mfumo wa irrigation, unaeza kulima tikiti, vitunguu arusha, moro, mpunga nk.
 
Ngumu ngumu kama zipi?
Za kutumia nguvu sana na zile kutumia akili/ubunifu wa hali ya juu, ndo maana wengi tumekuwa wachuuzi/mawakala wa bidhaa za nje hasa toka nchi za Asia (China & India). Mfano, dhana ya kuanzisha viwanda ni nzuri lakini ninavyowafahamu watanzania (weusi) hawachangamkia fursa, hapo ndipo wahindi watachanagamkia na kupewa usaidizi wa kifedha toka serikalini, kuanzisha viwanda. Hapo ndo tutaanza kulalama na UKAWWA watakuja na OPERESHENI KATWA FUNUA NIONJE ili kupumbaza wananchi kuwa wanabinywa demokrasia hivyo dawa ni kuandamana.
 
Mkuu kuwa wakala hizi BETTING huko ndio kuna pesa sana. Huku kwingine si umesikia kila kitu bure na serikali imepiga chini vitabu vinavyochapishwa na sekta binafsi (I stand to be corrected) sasa wazazi wengi wamebweteka hivyo usitegemee wateja kiviile
Ushauri mzuri sana
 
Ni biashara nzur, sina uzoefu nayo kwa sana lakini ni mdau ktk sekta hiyo, changamoto kubwa niionayo nikuwa, hiyo ni biashara ya misimu, haswa pale unaposhughulika na vitabu vya wanafunzi, utakuja kuona kuwa mauzo makubwa yapo miezi ya January-February, baada ya hapo mauzo huwa yanashuka kwa zaidi ya aslimia 80, inabidi ujiandae kwa hilo
Mkuu nimekuelewa. Nashukuru sana
 
Inatia huruma kuona kuwa vitabu havipewei kipaumbele na watanzaniai wengi. Ningekushauri uwasiliane na wachapaji (publishers) kama Mkuki na Nyota, Tanzania Educational Publishers (TEPU), Oxford University Press, Mture Educational Publishers, E&D publishers, nk Hawa ni wakongwe katika biashara ya vitabu na watakupa ushauri mzuri zaidi.

Sijajua utakuwa Mbeya sehemu gani. Ila kama ni mjini au sehemu karibu na hoteli za kitalii unaweza ukafanya biashara yako kwa namna mbili. Moja ukawa unasupply vitabu vya kiada moja kwa moja mashuleni, kwa kuwa ni vya msimu. Unachukua oda za vitabu halafu unawasiliana na wachapaji wanakupa kwa bei ya jumla. Hii unaweza kufanya hata nje ya mkoa. Pili, unaweza kuanzisha mgahawa wa vitabu kama biashara ya kwanza italipa vizuri na hii itafidia msimu wa mauzo ya biashara ya kwanza ukipita. Mgahawa tafutia karibu na hoteli au vivutio vya kitalii mjini. Unaweka vitabu vya riwaya, guide books and brochures, vitabu vya kujifunza lugha, vitabu kuhusu tamaduni mbalimbali, vitabu vya hadithi vya watoto, nk. Unahakikisha mgahawa wako unakuwa na kahawa nzuri kwa namna mbalimbali, na aina mbali mbali za chai, juisi, na vitafunwa pia. Ukiweza unaweka WiFi na computer kama mbili za kutumia wateja.

inaweza kukuchukua muda kuwekeza kwenye wazo la pili lakini soma maeneo na pia pata ushauri kwa wafanyabiashara wengine wanaofanya biashara kama hii mikoa mingine. Kila la kheri!
This is very wonderful advice. Na kwa huku mbeya sijaona biashara kama hiyo. Nakufuata in box mkuu unipe ujuzi zaidi
 
Back
Top Bottom