Wanaosoma shule za uma hawapati msingi? Nenda udsm leo kafanye reserch fupi kwa undergraduate wangapi wamesoma shule za msingi za kayumba na wangapi wamesoma private schools primary. Kisha uone wapi wengi? Then watazame wanaaongoza kwa gpa kila kozi kisha ufatilie msingi wamesoma shuls za aina gani?
Mpeleke hapo SIYA English Medium..cjui kama bado haka ka shule...mwanangu alisomaga hapo akapata msingi mzuri sana..ni jirani na Kanisa katoliki Sinza(Sinza Lion)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.