.Umri wangu ni 40yrs nina mtoto mmoja 8yrs ninafanya kazi, kwa alie na umri kati ya 40 hadi 45 aipm ili tuweze kuwasiliana. Mkristo atapewa kipaumbele zaidi.
Ingekuwa bora zaidi kama unge-MP. 45 your still available!!I am 45 yrs old, Christian and working. Kindly contact me through 0719077297
Miaka yote ulikuwa wapi kupata mme wa kukuoa? Je baba mtoto wako yuko wapi? Na kwa nini hajakuoa? Sifa unazozitaka ninazo lakini hunipati ng'o!Umri wangu ni 40yrs nina mtoto mmoja 8yrs ninafanya kazi, kwa alie na umri kati ya 40 hadi 45 aipm ili tuweze kuwasiliana. Mkristo atapewa kipaumbele zaidi.
ovyo.mwanaume halalamiki bwanaMiaka yote ulikuwa wapi kupata mme wa kukuoa? Je baba mtoto wako yuko wapi? Na kwa nini hajakuoa? Sifa unazozitaka ninazo lakini hunipati ng'o!
Miaka yote ulikuwa wapi kupata mme wa kukuoa? Je baba mtoto wako yuko wapi? Na kwa nini hajakuoa? Sifa unazozitaka ninazo lakini hunipati ng'o!
Sasa kwan lazima uchangie kama huitaji unakaa kimya.hata hili tufundishane pia.wacha watafutaneMiaka yote ulikuwa wapi kupata mme wa kukuoa? Je baba mtoto wako yuko wapi? Na kwa nini hajakuoa? Sifa unazozitaka ninazo lakini hunipati ng'o!
Nawaomba tusikwazane maana wengine huwa hawana ushauri mzuri
.
Am 43 years, mishen town, nina watoto 6 kila m1 na mama yake, ntakufaa?