Ninatafuta mume wa kuishi na kufunga nae ndoa

I guess dada zako no skuli at all plus your wife!

miaka 40??????? ....................... muda wote huo uliuwa wapi? tuwe serious jamani..... tatizo nyie wanawake wasomi hamtaolewa kamwe, hamjuwi kuwajali wanaume... haaaaaa. hapa kazini nianao mimamaa ipo tu, hamna ndoa, aoe nani????

pole lakini, tafuta wa ujiliwaza tu, usifikirie kuolewa!!!!
 
sorry mimi sihitaji kulelea bali nahitaji mume wa kufunga ndoa vigezo nilishatoa
 
sorry mimi sihitaji kulelea bali nahitaji mume wa kufunga ndoa vigezo nilishatoa

dada yangu sidhani kwa umri wa kuanzia miaka 40 kwenda mbele unaweza kumpata mwanaume ambaye hana mtoto ... kwa vile nawe una mtoto mnatakiwa mjipange kwa hilo
 
Mungu akubariki kwa maamuzi mazuri...utapata wala usikatishwa na wasemayo. Barikiwa sana!
 
Habari za asubuhi wapendwa, ninatafuta mume rafiki ambae atakuwa mwenzi wangu wa maisha, mimi ni mkristo nina 40yrs nina kazi yangu ningefurahi kama ningempata mwenye umri kati 42 had 45, awe mfanyakazi kama mimi na mkristo pia.

Nawatakieni kazi njema.
Bahati nzuri sana hiyo, nami natafuta mwanamke mkristo mwenye umri wa kuanzia miaka 35 kuwa mwenzi wangu wa maisha kwa sharti moja tu, awe bikira. Kama unadhani unaqualify tafadhali ni-PM tuanze mawasiliano. Kama uko used samahani.
 
Jitafutie kiserengeti boy kiwe kinakukuna tu
wanaume siku hizi matatizo matupu.
kwa umri ulio nao bora ukaishi peke yako tu

kama anahitaj ki serengeti boy nipo hapa,lol
 
Jitafutie kiserengeti boy kiwe kinakukuna tu
wanaume siku hizi matatizo matupu.
kwa umri ulio nao bora ukaishi peke yako tu

halafu utafute njemba moja makini ikuchape mimba moja ya fastafasta upate dume lije kukutunza hapa mjini!
 
miaka 40??????? ....................... muda wote huo uliuwa wapi? tuwe serious jamani..... tatizo nyie wanawake wasomi hamtaolewa kamwe, hamjuwi kuwajali wanaume... haaaaaa. hapa kazini nianao mimamaa ipo tu, hamna ndoa, aoe nani????

pole lakini, tafuta wa ujiliwaza tu, usifikirie kuolewa!!!!
mnnh bora umeandika mana uongeongea sijui ingekuaje
 
Habari za asubuhi wapendwa, ninatafuta mume rafiki ambae atakuwa mwenzi wangu wa maisha, mimi ni mkristo nina 40yrs nina kazi yangu ningefurahi kama ningempata mwenye umri kati 42 had 45, awe mfanyakazi kama mimi na mkristo pia.

Nawatakieni kazi njema.

Una malengo mazuri. Hata hivyo unayemtafuta ni "MWANAMUME wa kuishi na kufunga ndoa naye" na si MUME maana huyo atakuwa tiyari kwenye ndoa. Nisahihishe kama nimekosea.
 
Habari za asubuhi wapendwa, ninatafuta mume rafiki ambae atakuwa mwenzi wangu wa maisha, mimi ni mkristo nina 40yrs nina kazi yangu ningefurahi kama ningempata mwenye umri kati 42 had 45, awe mfanyakazi kama mimi na mkristo pia.

Nawatakieni kazi njema.

Mi nina 46 je naweza kukufaa?
 
Anayo haki ya kupenda na kupendwa kama hajakumbuka muda wote huo better awe buzy na maisha yake, asaidie ndugu zake, watoto yatima na jamii kwa ujumla ataacha kumbukumbu nzuri duniani achane kabisa na mawazo haya ya mapenzi ambayo aliyapuuzia zamani kwani angekuwa serious alipokuwa na miaka 25 akipata m2 wa kumuoa,
 
Mimi ameshanikosa.. Mwanaume anayemtaka kanizidi sana umri. Hata hivyo si ajabu jamani kwa akina mama wa umri wa miaka 7 hadi 10 chini ya umri wake au miaka hiyohiyo zaidi ya umri wake kutokuwa na mume ukilinganisha na umri huohuo kwa wanaume. Wachache sana wasio na wake. Hata hivyo hili jukwaa halimfai mama huyu. Pangegawanyishwa forums mfano lonely males and females ages labda 35 to 45. Vinginevyo utadhihakiwa wakati humu ni mwanzo mzuri wa kukutana na mwenza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom