witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,099
Unaamini hiyo kahawa...anatafuta like na comments huyoIla wanawake huwa tunajisahau!!! Sasa sijui akimuona huyo mtoto anajisikiaje?
Unaamini hiyo kahawa...anatafuta like na comments huyoIla wanawake huwa tunajisahau!!! Sasa sijui akimuona huyo mtoto anajisikiaje?
Witnessj maboya bado wapo wengi sanaUnaamini hiyo kahawa...anatafuta like na comments huyo
Jitahidi utafute kazi ufanye, anayofanyiwa chumbani dada yako na shemeji kwa kosa hilo usipende kuyajuaWakubwa shikamoni, Wadogo hamjambo?
Dadaangu ameolewa mwezi wa 10 mwaka jana alikua mjamzito mimba kubwa tu. Wamehamia mkoa wa mbali anaishi na Bwana wake. Sister alijifungua mwezi wa 3 mwaka huu. Juzi juzi nimeenda kikazi nikafika kumtembelea kwenye mji wake.
Nilishaangaa sana aisee.
Mtoto wa sister sasahiv anasimamia vitu, aisee hafanani na shemeji kwa lolote. Nilipomkagua nikagundua anaufanano mkubwa na njemba flani niliwah kutambulishwa na sister kwenye party flani kwamba ndo angekua bwana wake wa kuona. Yani dogo ile rangi, utege, kisogo na mapepe ya macho purely ni yule njemba aisee.
Kama mwanaume ninaumizwa sana ninaona shemeji kabambikwa ila sina la kufanya.
Niliona sister anajistukia na kama anakua anatabasam nikimshika mwanae na kumrusharusha...amegutuka kwamba sikubaliani nae kuhusu baba wa mtoto.
Hii imekaaje wakuu?
Safi sana acha yawapate, tukiwasisitiza humu huwa hawaelewi wanazani tunawaonea wivuDaaah! Haya matatizo yote yanawapata walio kwenye ndoa hayawezi kuwa ya kawaida
Liverpool VPN Naunga mkono hoja
sio Africa tu duniani kote.hakuna anayeweza kuvumilia kulea mtoto wa mwenzie.yaani hapo huyo dada afanye mpango ambebee mimba mumewe kupunguza makali.Kwa mwafrika c ajabu ni kawaida sana kufanya huo ukatiri, but co wote wako ivyo.