Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 5,651
- 12,666
Mbona kawaida tunalea watoto ambao sio wetu..
Yeah lakini papuchi yake imeliwa na mwizi. Au nadanganya?? 😜😜😜
Siri za familia, usivuruge ndoa ya watu, tena ondoka hapo
Vunga tu mkuu mwache mwanamme mwenzetu aitwe Baba na mtoto aite baba
Wapili atakua wa shemeji yako, na mdomo uufunge mwache mtoto apate malezi ya baba na mama.
Jitahidi utafute kazi ufanye, anayofanyiwa chumbani dada yako na shemeji kwa kosa hilo usipende kuyajua
Potezea tu we jamaa usije ukasababisha matatizo hilo swala wewe halikuhusu
Huyu atakua mwanamke. Na lazima atie mchanga kitumbua huyu. Ndugu majumbani kwetu NO.
Kuwa mbea mbea ni dalili ya kukosa pesa
Fanya yako ndugu, acha ndoa ya watu
Keep your mouth shut, you can be the source of evil.
M
Mlipue mlipue
Bora nikae kimya.
Labda kafanana na babu upande wa baba
Una hamu dada ako awe single mama wewe.
Mshtue tuu mwana kisha uondoke na sister ako kurudi home kwenu.
Achana na yasiyokuhusu.
Taifa linalokuja linatisha,mtoto mmoja wababa saba
Yaache kama yalivyo endelea na maisha yako.
Hayakuhusu mind your own business
Huo ni umbea
Na bado ACHA YA WAKUTE.
Kila siku mnaambiwa MSIOEE ila HAMSIKIII.
Endeleeni tu kulea WATOTO WASIO WENU huku mkijifariji "KITANDA HAKIZAI HARAMU"
Ila ndugu zangu KWANINI MNAPENDA SHIDA HIVI?
Kuoa BABU MENDE (in pisi kali voice)..!!
Nyie hebu ACHANENI na kuoa mpunguze MATATIZO SHUBAMIITIIII (in kipanya's Voice).
Ila kama mmegoma haya bana...
Nawaangalia halafu nacheka hii "BAGOSHAAAA"
#YNWA