SHEDEDE
JF-Expert Member
- Feb 6, 2021
- 339
- 551
Wakubwa shikamoni, Wadogo hamjambo?
Dadaangu ameolewa mwezi wa 10 mwaka jana alikua mjamzito mimba kubwa tu. Wamehamia mkoa wa mbali anaishi na Bwana wake. Sister alijifungua mwezi wa 3 mwaka huu. Juzi juzi nimeenda kikazi nikafika kumtembelea kwenye mji wake.
Nilishaangaa sana aisee.
Mtoto wa sister sasahiv anasimamia vitu, aisee hafanani na shemeji kwa lolote. Nilipomkagua nikagundua anaufanano mkubwa na njemba flani niliwah kutambulishwa na sister kwenye party flani kwamba ndo angekua bwana wake wa kuona. Yani dogo ile rangi, utege, kisogo na mapepe ya macho purely ni yule njemba aisee.
Kama mwanaume ninaumizwa sana ninaona shemeji kabambikwa ila sina la kufanya.
Niliona sister anajistukia na kama anakua anatabasam nikimshika mwanae na kumrusharusha...amegutuka kwamba sikubaliani nae kuhusu baba wa mtoto.
Hii imekaaje wakuu?
Dadaangu ameolewa mwezi wa 10 mwaka jana alikua mjamzito mimba kubwa tu. Wamehamia mkoa wa mbali anaishi na Bwana wake. Sister alijifungua mwezi wa 3 mwaka huu. Juzi juzi nimeenda kikazi nikafika kumtembelea kwenye mji wake.
Nilishaangaa sana aisee.
Mtoto wa sister sasahiv anasimamia vitu, aisee hafanani na shemeji kwa lolote. Nilipomkagua nikagundua anaufanano mkubwa na njemba flani niliwah kutambulishwa na sister kwenye party flani kwamba ndo angekua bwana wake wa kuona. Yani dogo ile rangi, utege, kisogo na mapepe ya macho purely ni yule njemba aisee.
Kama mwanaume ninaumizwa sana ninaona shemeji kabambikwa ila sina la kufanya.
Niliona sister anajistukia na kama anakua anatabasam nikimshika mwanae na kumrusharusha...amegutuka kwamba sikubaliani nae kuhusu baba wa mtoto.
Hii imekaaje wakuu?