Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 5,798
- 13,042
Matatizo yanayoepukika nayo mnamtwisha Mungu Tena?Doh! Ndoa hizi M/Mungu ndie anaejua
.
#YNWA
Matatizo yanayoepukika nayo mnamtwisha Mungu Tena?Doh! Ndoa hizi M/Mungu ndie anaejua
.
Achana na masuala ya ndoa za watuWakubwa shikamoni, Wadogo hamjambo?
Dadaangu ameolewa mwezi wa 10 mwaka jana alikua mjamzito mimba kubwa tu. Wamehamia mkoa wa mbali anaishi na Bwana wake. Sister alijifungua mwezi wa 3 mwaka huu. Juzi juzi nimeenda kikazi nikafika kumtembelea kwenye mji wake.
Nilishaangaa sana aisee.
Mtoto wa sister sasahiv anasimamia vitu, aisee hafanani na shemeji kwa lolote. Nilipomkagua nikagundua anaufanano mkubwa na njemba flani niliwah kutambulishwa na sister kwenye party flani kwamba ndo angekua bwana wake wa kuona. Yani dogo ile rangi, utege, kisogo na mapepe ya macho purely ni yule njemba aisee.
Kama mwanaume ninaumizwa sana ninaona shemeji kabambikwa ila sina la kufanya.
Niliona sister anajistukia na kama anakua anatabasam nikimshika mwanae na kumrusharusha...amegutuka kwamba sikubaliani nae kuhusu baba wa mtoto.
Hii imekaaje wakuu?
Nishasema sanaa ila HAWAELEWI BRO.
Ngoja YAWAKUTE.
#YNWA
Kina Mama wana changamoto sana maishani linapokuja suala la kuzaa. Utakuta mtu anashika mimba ya kibaka kwa tamaa zake tu, mwisho wa siku anaachwa solemba na kuanza kuhaha kutafuta mwanamme wa kumbambikizia mtoto. Atafanya kila kitu kuanzia kuroga n.k. ili mradi tu apate mwanamme wa kulea mtoto wa kibaka.Wakubwa shikamoni, Wadogo hamjambo?
Dadaangu ameolewa mwezi wa 10 mwaka jana alikua mjamzito mimba kubwa tu. Wamehamia mkoa wa mbali anaishi na Bwana wake. Sister alijifungua mwezi wa 3 mwaka huu. Juzi juzi nimeenda kikazi nikafika kumtembelea kwenye mji wake.
Nilishaangaa sana aisee.
Mtoto wa sister sasahiv anasimamia vitu, aisee hafanani na shemeji kwa lolote. Nilipomkagua nikagundua anaufanano mkubwa na njemba flani niliwah kutambulishwa na sister kwenye party flani kwamba ndo angekua bwana wake wa kuona. Yani dogo ile rangi, utege, kisogo na mapepe ya macho purely ni yule njemba aisee.
Kama mwanaume ninaumizwa sana ninaona shemeji kabambikwa ila sina la kufanya.
Niliona sister anajistukia na kama anakua anatabasam nikimshika mwanae na kumrusharusha...amegutuka kwamba sikubaliani nae kuhusu baba wa mtoto.
Hii imekaaje wakuu?
Sasa anaejua zaidi ya duniani (ya Siri na dhahiri) nani Kama sio M/MUNGU.Matatizo yanayoepukika nayo mnamtwisha Mungu Tena?
#YNWA
Weka picha za hao watu wote wanne unaowaongelea ili na sisi tufanye uchunguzi wetu, baada ya uchunguzi ndio tutakua na uhalali wa kukushauriWakubwa shikamoni, Wadogo hamjambo?
Dadaangu ameolewa mwezi wa 10 mwaka jana alikua mjamzito mimba kubwa tu. Wamehamia mkoa wa mbali anaishi na Bwana wake. Sister
Hii imekaaje wakuu?
Hii kauli ni ya kujifariji tu mie nakufukuza mchana kweupeeeeSi kitanda hakizai haram au...??😏
Huu Ni Uongo kabisa.Wakubwa shikamoni, Wadogo hamjambo?
Dadaangu ameolewa mwezi wa 10 mwaka jana alikua mjamzito mimba kubwa tu. Wamehamia mkoa wa mbali anaishi na Bwana wake. Sister alijifungua mwezi wa 3 mwaka huu. Juzi juzi nimeenda kikazi nikafika kumtembelea kwenye mji wake.
Nilishaangaa sana aisee.
Mtoto wa sister sasahiv anasimamia vitu, aisee hafanani na shemeji kwa lolote. Nilipomkagua nikagundua anaufanano mkubwa na njemba flani niliwah kutambulishwa na sister kwenye party flani kwamba ndo angekua bwana wake wa kuona. Yani dogo ile rangi, utege, kisogo na mapepe ya macho purely ni yule njemba aisee.
Kama mwanaume ninaumizwa sana ninaona shemeji kabambikwa ila sina la kufanya.
Niliona sister anajistukia na kama anakua anatabasam nikimshika mwanae na kumrusharusha...amegutuka kwamba sikubaliani nae kuhusu baba wa mtoto.
Hii imekaaje wakuu?