zaqzay
Member
- Jul 15, 2015
- 7
- 1
Mimi ni kijana mstaarabu sana, ni Mchamungu, pia mwenye kujali hisia za wanipendao na wanichukiao vilevile.
Naomben ushauri. Ninapendwa na kina dada wawili, wote wananipenda sana, tena sana tu ndugu zangu na ninahitaji kumpenda mmoja ili niwe na penzi la dhati kwa nitakaekua nae.
Thamani yao kwangu ni sawa na sipendi nimuumize hata mmoja kwa uamuzi nitakaochukua, nifanyeje?
Naomben ushauri. Ninapendwa na kina dada wawili, wote wananipenda sana, tena sana tu ndugu zangu na ninahitaji kumpenda mmoja ili niwe na penzi la dhati kwa nitakaekua nae.
Thamani yao kwangu ni sawa na sipendi nimuumize hata mmoja kwa uamuzi nitakaochukua, nifanyeje?