Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,967
- 11,212
Chozi linapokuwa rahisi kutoka ni ishara ya stress it’s a good thing though
Kulia ni raha sana, hasa ninapokuwa mbele za Bwana kwa maombi ama ibada.
Kabla hujalia niite nikibembeleze.Lia mkuu, mimi nilikuwa najifanya mbabe wa kubumilia machungu, kina wakati stress zilinielemea
Sent using Jamii Forums mobile app
Usijidanganye binafsi huwa naliaKulia ni marufuku kwa mtoto wa kiume
Tatizo machozi huwa hayatoki but kulia ni dawa.Kabla hujalia niite nikibembeleze. Za masiku kaka?
Kwenye swala la familia nimekuelewa. you a very right bro.Usijidanganye binafsi huwa nalia. Nakumbuka mala ya mwisho kulia ni pale mwanangu alipoungua na uji. Tukiwa hospital baada ya kupewa matibabu na kulazwa mtoto kawekewa mipira puani aisee...
Kweli kile cha ndani kabisa... ..hata atokee mtu na yeye ataomboleza tu...Kulia kunasafisha moyo,nafsi na macho.
Hahaa analia hadi hurumaMwanaume bora upigane na ukuta kuliko kulia.
Lia tu ili uondoe huo uchungu, tena afadhali yako wewe unayedondosha chozi kuliko wale wanaokaa nayo moyoni maana nahisi hao ndiyo huwa wanateseka zaidi..!
Tena bora wewe ukikutana na madhila tu ndiyo walia, Mimi nalia nikikasirika, nalia nikihuzunika na cha kushangaza zaidi hulia pia nikifurahi, rafiki zangu huniitaga 'crying baby'..!
Kwakweli hayo ni maumbile hata mm huwa nalia sana. Hata nikiangalia baadhi ya move zenye hisia kali huwa machozi yananitoka.
Hata nikiagana na rafiki au mtu niliyemshiba kama kuna kutoa neno Fulani la shukrani huwa siwezi .
Mwaka huu, mwanangu alifukuzwa shule kwa kweli kitendo kile baada ya kumuona mwanangu nilipatwa na uchungu sana kama ningekuwa OSAMA siku nilikuwa nalipua shule.
Nililia sana.
Ule ni utapeli tuSawa, sisi walokole tunalia pindi tuanzapo maombi (binafsi sijawahi kujua tunacholilia iwe wakati wa furaha ama huzuni) a.k.a kububujika.