BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,347
Mbona easy mkuu,, nipe nimchakate.. Kitakachofata hapo utakuwa Motivational speaker wa KATAA NDOA, NDOA NI UJAMBAZI.Wazio lako lipo sahihi ,mimi nataka nimwache mke wangu namtafutia pointi tuu
KabisaAchana na stori za kwenye mitandao utapotea.
[emoji23][emoji23][emoji23]mm hapa nishazoea kulala na pensi[emoji1751]Hahaha,
Eti unaogopa kulala bila nguo.!!
Mabinti wa Siku hizi kuna anaeogopa kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23]mpwa Bora unifunde niache uogaNikikufunda hiyo hofu itaisha mpwa.
Kwani dokta ana maoni gani?
Yaani simpendi yule kijana basi tu [emoji16][emoji16][emoji16]
Kweli kabisa humu ni burudani ukiwaserious kufatiia utaumia kichwaWapinga ndoa wengi wameoa mpwa...labda hivi vitoto vya fomu foo, siksi na mwaka wa kwanza vyuoni
Hahah,[emoji23][emoji23][emoji23]mm hapa nishazoea kulala na pensi[emoji1751]
Liability?!Oa lakini Usioe mwanamke Mwenye degree, ni liability.
[emoji1][emoji1]kwambaHahah,
Inapendeza lakin Mwanamke kuogopa.
Hapo ndipo Mwanaume anaonesha uanaume wake
Si ndio ninakushawishi kulala bila nguo.[emoji1][emoji1]kwamba
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kuna options mbili tu duniani KUOA au KUOLEWA!
Maadam umeshaogopa ya kwanza?basi ya pili inakuhusu!kila la kheri
Kwa nn mkuu [emoji3]Wazio lako lipo sahihi ,mimi nataka nimwache mke wangu namtafutia pointi tuu
Umefika mkuu #kataa ndoaMkuu piga na kusepa mambo ya ndoa waachie washamba
Mbona hueleweki?Napata wasiwasi ya kuoa kutokana na haya ninayo yaona kila siku kwenye mtandao kuhusu maisha ya wana ndoa
Kila siku lazima nikutane na post ya watu kuachana wengine kufumaniana wengine kulea watoto ambao sio wao
Dah sijui tukimbilie wapi sisi kutafuta wanawake tutakao dumu nao
Hatarii sanaa 🤣🤣🤣🤣Kweli alafu humu watu waongo sana mtu Leo anathraed kataa ndoa na anasema haoi kesho anasahau anaomba ushauri mkewe kaenda kijijin hajarudi 😂
Napata wasiwasi ya kuoa kutokana na haya ninayo yaona kila siku kwenye mtandao kuhusu maisha ya wana ndoa
Kila siku lazima nikutane na post ya watu kuachana wengine kufumaniana wengine kulea watoto ambao sio wao
Dah sijui tukimbilie wapi sisi kutafuta wanawake tutakao dumu nao
[emoji1][emoji1]Hatarii sanaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1][emoji1]kunishawishi kavukavu hamna hata kazawadiSi ndio ninakushawishi kulala bila nguo.
"Usiogope sitokufnya chochote"