Mwanamke hana dini lakin ana imani..Huwa wanasema wnamke hana dini..
Halafu wewe ni mwanaume maamuzi yote yapo kwako...
Usioe mke wa dini tofauti, ni ujinga......! hata akisema atabadilika, usimwamini, utakuja kujuta na usiseme ukuambiwa.....
Oh siwezi mwacha, ni la Aziz, ujinga, unaweza kumuacha kabisa, oh nitakufa.... Ujinga, na upumbavu.
Niliona juzi maisha magic bongo kipindi cha harusi yetu ndoa ilifungwa kanisani ila bibi mkristo na bwana muislam na wakapewa cheti cha serikalini ambacho walikuja nacho kanisani apoHbr wanajamvi .Mm ni mkristu na mke wangu ni muislim sasa tumeshindwa tufungie wapi hii ndoa yetu msaada tafadhali wenye uzoefu
Fata msimamo wake then anza kumbadirisha taratibuHbr wanajamvi .Mm ni mkristu na mke wangu ni muislim sasa tumeshindwa tufungie wapi hii ndoa yetu msaada tafadhali wenye uzoefu
Nendeni ilala boma mtapata suluhishoHbr wanajamvi .Mm ni mkristu na mke wangu ni muislim sasa tumeshindwa tufungie wapi hii ndoa yetu msaada tafadhali wenye uzoefu
tatizo lako unapapalikia kuoa wakati akili yako haijapevuka. huyo ni mchumba wako sio mke wako. Kafungie porin pumbafHbr wanajamvi .Mm ni mkristu na mke wangu ni muislim sasa tumeshindwa tufungie wapi hii ndoa yetu msaada tafadhali wenye uzoefu