Ninapata wakati mgumu sn kimapenzi

Ninapata wakati mgumu sn kimapenzi

matiyas

Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
39
Reaction score
58
Hbr wanajamvi .Mm ni mkristu na mke wangu ni muislim sasa tumeshindwa tufungie wapi hii ndoa yetu msaada tafadhali wenye uzoefu
 
Hbr wanajamvi .Mm ni mkristu na mke wangu ni muislim sasa tumeshindwa tufungie wapi hii ndoa yetu msaada tafadhali wenye uzoefu

Usioe mke wa dini tofauti, ni ujinga......! hata akisema atabadilika, usimwamini, utakuja kujuta na usiseme ukuambiwa.....

Oh siwezi mwacha, ni la Aziz, ujinga, unaweza kumuacha kabisa, oh nitakufa.... Ujinga, na upumbavu.
 
Hahah huyo ukidumu nae miaka 10 nitakulipa
 
Nina watoto2 nae mpk sasa mana tulianza kamchezo chuoni
 
Kama hamjafunga ndoa kwanini unamwita mke wako??
Hiyo mke wako imetoka wapi??

Fungeni ya kisheria tu
 
Pole sana ndugu yangu.

Mwambie abadili dini, ili mfunge ndoa inayoeleweka mkiwa kwenye dini moja tu.

Nakuhakikishia, ndoa ya bomani haina nguvu sana kimahusiano kama ndoa ya Kanisani au Msikitini.
Hbr wanajamvi .Mm ni mkristu na mke wangu ni muislim sasa tumeshindwa tufungie wapi hii ndoa yetu msaada tafadhali wenye uzoefu
 
Huwa wanasema wnamke hana dini..

Halafu wewe ni mwanaume maamuzi yote yapo kwako...
 
Sio lazima wende kanisani ao Muskitini... Funga ndoa yakimila, mchezo kwisha.
 
Umezaa naye watoto wawili tayari. Bila shaka wazazi wa pande mbili zote wanawafahamu mnaishi wote, hiyo tiyari ni ndoa mkuu..

Hizi nyingine ni desturi tu na tamaduni za kizungu.. ila kama unataka cheti nenda serikalini( bomani)..
NB: ndoa ni makubaliano ya watu wawili, me na ke..
 
Back
Top Bottom