Thesmartphone class
New Member
- Aug 27, 2020
- 1
- 1
Kama kichwa kilivyojieleza hapo juu nimekuja humu ndani nikiomba msaada wa mawasiliano ya uongozi wa kata ya Upanga mashariki Kwasababu niliacha nyaraka zangu pindi nilipokua huko Dar. Sasa naomba mawasiliano ili niweze fahamishwa kua nazipata vipi?