Precious adam
Member
- Jan 6, 2018
- 40
- 11
Mh, hîi ni shule gani? 2.5M kwa mwaka. Unaweza kunijibu pm piaNa miaka miwili kidato cha tatu na cha nne jumla sh milioni 5
Pole sana, jieleze vizuri kidogo...mfano unasoma wapi? wa kike? au kiume? shule ya Gov au Private nk, mkowa gani.Natumaini mnaendelea vizuri na ni wazima wa afya kwa mwaka huu mpya mm ni mwanafunzi ninayeingia kidato cha tatu mwakani na ninaamini nitafaulu kwa ufaulu mzuri lakini sins ada wazaz hawana uwezo hivyo naomba ufadhili wa miaka miwili tafadhali kutoa ni moyo si utajiri Mungu awaongoze naamin mtaniwezesha
Nipo private
Na miaka miwili kidato cha tatu na cha nne jumla sh milioni 5
Wewe nae umemchafulia mwenzako hali ya hewa, fujo za nini sasa...!Ufadhili Natumaini mnaendelea vizu...www.jamiiforums.com/index.php?posts/25196903/
Mtoto ana mwandiko mzuri sana anajitahidi, haya uje ujieleze vizuri kabisa hapa
Wewe nae umemchafulia mwenzako hali ya hewa, fujo za nini sasa...!