Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
- Thread starter
- #121
Nimeona janja ya CHADEMA kumkimbiza Nape mitandaoni hasa JF.......Nape plz hilo ni tego la mwizi, kula kona au kuwa tayari kunasa, huyu Yerico ni hatari sana........weka mbali na siasa za kizee
Hehee mkuu mimi sio mtu hatari kama unavyofikiri, bali ni mimi ni mjenzi imara wa siasa za kisasa!