Ninamtunuku Freeman A. Mbowe nishani ya Rafidainian Order First Class, ROFC

Ninamtunuku Freeman A. Mbowe nishani ya Rafidainian Order First Class, ROFC

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2010
Posts
17,018
Reaction score
20,489
mbowe.jpg

Mbowe akimpa Lecture Mchumi Daraja la Kwanza Mwigulu Nchemba na Boss wake Saada Mkuya


Kwakweli kunahaja kubwa ya kumtunuku Mbowe cheo cha heshima cha kitaifa kutambua mchango wake, Leo ameweza kuwaunganisha makundi yote hasimu na mengineyo, Leo sumaye na Lowasa waliokuwa maadui wanacheka pamoja?

Aaah Mbowe nakupa cheo cha Rafidainian Order First Class, ROFC, Hiki ni cheo cha juu kwa jasusi mwenye taaluma zote na uzoefu wa mission ngumu ndani ya idara ya ujasusi duniani, yaani mpanga mikakati, na mtekeleza mikakati ikiwemo uwezo mkubwa wa wa diplomasia ya kijasusi. Nawiwa na furaha na kuona taifa jipya la Tanzania likizaliwa mikononi mwa Mbowe.


Nakupa saluti kubwa sana ya Ukombozi Kamanda Mbowe, Navutiwa kuona Mbowe unakuwa Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa nchini Tanzania baada tu ya kulikomboa taifa hili, naamini utafanya mapinduzi makubwa sana ya Idara hii nchini
 
Last edited by a moderator:
Wapo waliosema chadema inaongozwa na akili ndogo, ati wao wana akili nyingi hivyo wanakwenda kuanzisha chama chao,

Sijui wamefia wapi, hata ubunge wataukosa mwaka huu
 
Hakuwahi kuwa mwanaccm alijijenga Kwa misingi ya utendaji na dira kuliko uelewa wa shule
Vision is better than knowledge by Einstein
Uimara wa kutumia uzoefu na kukubali mawazo ya watu ndio matunda ya leo
Mwanajeshi anayeheshimu kila kishindo na yote yatokeayo vitani kwani ndio msingi wa ushindi.
Dharau haijengi
Shikamoo mbowe
Jasusi nje ndani
 
Asante sana Mh. Mbowe, Mungu kakujalia Akili nyingi sana Na ukazitumia kwa manufaa ya wa_Tz wote! Tunasema Viva Mboweee!
 
Back
Top Bottom