Ninampenda lakini Tunalingana Umri

Ninampenda lakini Tunalingana Umri

Tuvako

Member
Joined
May 19, 2012
Posts
82
Reaction score
13
Heshima kwenu Wakubwa..
Mimi ni Kijana wa Kiume,Nimempenda dada Mmoja hivi Ila Tunalingana Umri(wote tuko 24) na Nafikiria Kumuoa, MUNGU akipenda..
Hebu Fungukeni na Maushauri yenu...Hivi Imekaa Njema kwa Mimi kumuoa Msichana Ambaye Tunalingana Umri?


 
Nani aliyekwambia kulingana umri ni makosa....wewe unaoa umri au mwanamke?
 
Heshima kwenu Wakubwa..
Mimi ni Kijana wa Kiume,Nimempenda dada Mmoja hivi Ila Tunalingana Umri(wote tuko 24) na Nafikiria Kumuoa, MUNGU akipenda..
Hebu Fungukeni na Maushauri yenu...Hivi Imekaa Njema kwa Mimi kumuoa Msichana Ambaye Tunalingana Umri?


Ni vema tu dogo, usihofu.
Umri hauna tija yoyote kwenye ndoa.
 
Nipe namba zake maana mm nimempita umri nitakusaidia kumuoa haina shida mdogo wangu.
 
umeshaamua kumuoa tukushauri nini?
Kwa hiyo tukikuambia achana naye?
 
Heshima kwenu Wakubwa..
Mimi ni Kijana wa Kiume,Nimempenda dada Mmoja hivi Ila Tunalingana Umri(wote tuko 24) na Nafikiria Kumuoa, MUNGU akipenda..
Hebu Fungukeni na Maushauri yenu...Hivi Imekaa Njema kwa Mimi kumuoa Msichana Ambaye Tunalingana Umri?


hakuna ubaya umri sawa au hata kuzidiwa,tatizo lipo age yenu bado ndogo sana,kwa maoni yangu umri mzuri kwa mwanaume kuoa ni 30+!ukibana sana 28!sasa challenge kubwa kwenu ni kuvuka hiyo miaka 4 mpaka sita toka sasa,tatizo wanawake wameumbwa kuwahi mambo ktk almost kila kitu isipokuwa ktk ndoa waume zao ndio huanza kufa!mwenzio akiwa mwenye subira mtaweza!all the best
 
Kwa kawaida manaume unatakiwa umzidi umri mwanamke angalau miaka mitatu hawa huwa wanawahi kuzeeka mkifikisha miaka 40 we utakua unagegeda kama kawaida afu mwenzio uwezo wake unakua umeshuka ndo mwanzo wa kuvamia vibinti vya mtaani ndani hupewi huduma nzuri kama unampenda kweli muowe lakini baadae inaweza kua insu
 
mi sioni kama ni tatizo kama mnapendana kweli. age is just a number
 
hakuna ubaya umri sawa au hata kuzidiwa,tatizo lipo age yenu bado ndogo sana,kwa maoni yangu umri mzuri kwa mwanaume kuoa ni 30+!ukibana sana 28!sasa challenge kubwa kwenu ni kuvuka hiyo miaka 4 mpaka sita toka sasa,tatizo wanawake wameumbwa kuwahi mambo ktk almost kila kitu isipokuwa ktk ndoa waume zao ndio huanza kufa!mwenzio akiwa mwenye subira mtaweza!all the best

Age yetu bado ndogo I know that...By the way sijapanga kumuoa muda huu...I hope kuoa Miaka 5 ijayo...Najipanga kwa sasa
 
Age yetu bado ndogo I know that...By the way sijapanga kumuoa muda huu...I hope kuoa Miaka 5 ijayo...Najipanga kwa sasa
Age aint nothing but a number. But kutaka kuoa miaka mitano ijayo inanipa mashaka kidogo. Mabinti wengi katika umri wa huyo wapo katika hamu kubwa ya kuelewa na yeyote atakayekuja akionyesha seriousness. Anyway, Endelea nae kama rafiki ili muendelee kujuana tabia, other things will come automatically.
 
Age yetu bado ndogo I know that...By the way sijapanga kumuoa muda huu...I hope kuoa Miaka 5 ijayo...Najipanga kwa sasa
Endelea kujidanganya, wewe hauijui kazungurukee. subili nitoke huku mgodini na mipesa yangu uone kama mtafikisha hata miezi mitano, achilia mbali miaka mitano ijayo.
 
Ukishaanza kufikiria umri ni ishu basi utakuwa ishu...yani ilitakiwa wewe usilione hilo kabisa..ila kwa kuwa umeliona think again!!!
 
miaka mitano?nyie kulen maisha tu kwa mda huu but sidhani kama anaweza kuvumilia mda huo kwa jinsi ninavowafahamu hawa ndugu zetu
 
Kuoa ni makubaliano ya watu wawili wenye malengo yanayofanana katika kujenga familia.

Kwako wewe sio mbaya kuoana katka umri mmoja.
I
la msiachane sana kiasi ambacho ukakuta mmoja kati yenu anauwezo wa kumzaa mwenzake yaani MZEE, hii itafanya mshindwe kufuraia maisha kwa pamoja maana huyo mzee atazeeka na kumuacha mwenzake bado MBICHI, hivyo kumfanya kuanza kutangatanga akitafuta atakaye endana naye wakati huo .


 
Back
Top Bottom