Ninampango wa kutoka Mwanza kwenda Dar na Toyo XL Tupeane uzoefu kwa waliowahi kutoboa route ndefu za mikoa na TOYO

Honda XL 450 hiyo safari ya kawaida tu yupo mwamba alikua anazipakia hizo Jozi na truck wakifika Lusaka wanaendesha mpaka Tunduma sasa hivi ana truck la kubeba piki piki zake...ila piki piki zile kubwa wana nguo kabisaa mwingine alitoka Jozi na BMW mpaka daslm ile yenye 1200 CC alikua anatumia muda mchache kufika mpaka mmoja kwenda mwingine tofauti na gari..
 
Kwa mwendo wa xl ally's haoni ndani.anachotakiwa abebe hata kilo 100 za mchele ili apate balance.mm nilitoka mwanza kwenda nzega nilitumia masaa 2na nusu.gali iliyonipita ilikuwa moja tuu na ilikuwa na speed sijawahi ona maisha yangu yote.maana iliponipita ndani ya sekunde kama 6 barabala iliyonyooka ilikuwa haionekani
mkuu hawa jamaa hawajui mziki wa XL wanavyoona toyo wanajua ni hivi viberiti boxer mimi nataka uzoefu tu ila uhakika wa kufika najua upo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila Kitu kinawezakana Nothing imposible angalia uimara wa pikipiki yako kuanzia mipira pamoja na full service ,plug ni muhimu sana kutia OG na japo mbili tatu kuchukua hakiba tena ziwe OG pamoja na oil hata kama lita mbili plus uwe na Road Map ujue unatoka wapi mpk wapi napunzika sio unakwenda tu kama zombi ni vyema wakati wa kuondoka ukaanzia kama saa 10 za alfajiri ikifika mida ya 6 mchana utakuwa uko mbali sana kama hali ya hewa si ya joto endelea na safari mchana kama uko fit kama ni joto punzika anza jioni ,na kila ukifika pahala pa kupunzika angalia piki piki yako angalia oil na vitu vyengine katika mwendo angalia sana temperature na fikiri hayo yanatosha na zaidi yategemea afya yako sijui uko fit kiasi gani .
 
Honda XL 450 hiyo safari ya kawaida tu yupo mwamba alikua anazipakia hizo Jozi na truck wakifika Lusaka wanaendesha mpaka Tunduma sasa hivi ana truck la kubeba piki piki zake...ila piki piki zile kubwa wana nguo kabisaa mwingine alitoka Jozi na BMW mpaka daslm ile yenye 1200 CC alikua anatumia muda mchache kufika mpaka mmoja kwenda mwingine tofauti na gari..
mkuu hawa jamaa pengine hawajui mziki wa XL450 wao wakiona toyo wanajua ni hivi viberiti boxer, na fekon hii mi mashine bei yake yenyewe unanunua vitz mbili na ballance ya mafuta inabaki tatzo watu washakalili wakiskia toyo waambie mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila Kitu kinawezakana Nothing imposible angalia uimara wa pikipiki yako kuanzia mipira pamoja na full service ,plug ni muhimu sana kutia OG na japo mbili tatu kuchukua hakiba tena ziwe OG pamoja na oil hata kama lita mbili plus uwe na Road Map ujue unatoka wapi mpk wapi napunzika sio unakwenda tu kama zombi ni vyema wakati wa kuondoka ukaanzia kama saa 10 za alfajiri ikifika mida ya 6 mchana utakuwa uko mbali sana kama hali ya hewa si ya joto endelea na safari mchana kama uko fit kama ni joto punzika anza jioni ,na kila ukifika pahala pa kupunzika angalia piki piki yako angalia oil na vitu vyengine katika mwendo angalia sana temperature na fikiri hayo yanatosha na zaidi yategemea afya yako sijui uko fit kiasi gani .
ahsante mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu, hapa ninampango wa kutoka Mwanza kwenda Dsm na pikipiki aina ya XL kwa ambao walishawai kutoboa route ndefu na toyo tupeane uzoefu na changamoto zake na zipi na ni mambo gani inatakiwa kuzingatia njiani! sababu huwa sipendelei usafiri wa public nilishazoea kutumia Gari binafsi ila kwa bahati mbaya Gari langu limepata hitilafu ambayo naona uwezekano wa kuifix na huu usawa wa tozo itanichukua mda kidogo, hebu nipeni uzoefu kwa mliowahi kutoboa na toyo masafa marefu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tulia tafuta hela ufix hyo gari yako achana na habari za Toyo safar hyo ni ndefu Sana hata Kama unataka kufanya utalii sikushauri mkuu
 
Back
Top Bottom