Mi nikijana 26yrs,mpenzi wang anasumbliwa na maumivu ya mguu ktk maungio karibu na kikanyagio asawakat wa sikuza zake na wakat wa baridi unavimba.tumekwenda hospt.zaid ya 2 wamepîma lakn awapati tatizo.doct hii hali itakuwa inasabbishwa nanii,na atumienin?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.