Utajua ujui
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 249
- 832
Habari.
Mimi hata sielewi nimejikuta namchukia mke wangu.
Nashindwa kuelewa hali hii inasababishwa na nini?
In summarry.
Sogeza tukae kwa miaka miwili sasa na tuna mtoto mmoja.
Changamoto kubwa iliyopo.
1.Kinyongo
2.Ana weka jambo moyoni yaani ukimkosea hakuna unachokipata tena kutoka kwake na kitu kikiwa kidogo atakikuza.
3.Sio mtu wa kujiongeza,yaani kila kitu anahitaji kutoka kwako.jambo dogo linalohifaji low reasoning ila linamsumbua.
4.kauli yake tukigombana kila siku kama vipi tuachane ,niache sitashindwa kulea mtoto nadhani malezi ya SINGO MAMA YAMEMUATHIRI.
5.Kuninyima tendo ndo anajua dawa kumbe mimi ninamcheat tu na yeye ndo anasababisha.
Kiukweli nina mengi jamani ya kusema.
Moyo unauma na kuumia.
Nawafurahia wanawake wengine ila sio mke wangu
Mimi hata sielewi nimejikuta namchukia mke wangu.
Nashindwa kuelewa hali hii inasababishwa na nini?
In summarry.
Sogeza tukae kwa miaka miwili sasa na tuna mtoto mmoja.
Changamoto kubwa iliyopo.
1.Kinyongo
2.Ana weka jambo moyoni yaani ukimkosea hakuna unachokipata tena kutoka kwake na kitu kikiwa kidogo atakikuza.
3.Sio mtu wa kujiongeza,yaani kila kitu anahitaji kutoka kwako.jambo dogo linalohifaji low reasoning ila linamsumbua.
4.kauli yake tukigombana kila siku kama vipi tuachane ,niache sitashindwa kulea mtoto nadhani malezi ya SINGO MAMA YAMEMUATHIRI.
5.Kuninyima tendo ndo anajua dawa kumbe mimi ninamcheat tu na yeye ndo anasababisha.
Kiukweli nina mengi jamani ya kusema.
Moyo unauma na kuumia.
Nawafurahia wanawake wengine ila sio mke wangu