Ninajikuta namchukia mke wangu

Ninajikuta namchukia mke wangu

Hoja namba 3 ni muhimu sana, wanawake wa hivyo wanakera sana, yani jambo la kawaida ila ataishi km kafiwa na ukoo wake wote, na ukimuelewesha ataona hujali matatizo yake, niliwahi kukutana na wahivyo, nilikimbiaa mbio
 
Habari.

Mimi hata sielewi nimejikuta namchukia mke wangu.

Nashindwa kuelewa hali hii inasababishwa na nini?

In summarry.

Nimefunga nae ndoa tuna miaka miwili sasa na tuna mtoto mmoja.

Changamoto kubwa iliyopo.

1.Kinyongo

2.Ana weka jambo moyoni yaani ukimkosea hakuna unachokipata tena kutoka kwake na kitu kikiwa kidogo atakikuza.

3.Sio mtu wa kujiongeza,yaani kila kitu anahitaji kutoka kwako.jambo dogo linalohifaji low reasoning ila linamsumbua.

4.kauli yake tukigombana kila siku kama vipi tuachane ,niache sitashindwa kulea mtoto nadhani malezi ya SINGO MAMA YAMEMUATHIRI.

5.Kuninyima tendo ndo anajua dawa kumbe mimi ninamcheat tu na yeye ndo anasababisha.

Kiukweli nina mengi jamani ya kusema.

Moyo unauma na kuumia.

Nawafurahia wanawake wengine ila sio mke wangu


Haya ulitakiwa uyajue kabla ujamuoa, hata hao wengine ukiwaleta nyumbani hautawafurahia.

Jifunze kuchagua kupenda mwanamke bila sababu, maana kuna wakati hutakuwa na sababu.

Imeputa hiyo, huyo ni wa kwako, huna namna tena zaidi ya kuvumilia kuishi naye.
 
Ulimuoa kwa tamaa tu au kwakulazimishwa. Ila chakwanza jiulize ulimuoa kwa malengo gani?
Huyu ni kama wenzie wengi anaoa ili apate mtu wa kumpikia na kumfulia nguo.
Na ile fashion kwamba wenzangu wa umri wangu wote wameshaoa.

Sio rahisi ukaoa/ukaolewa na mtu unayempenda halafu baada ya miaka miwili ukamchukia completely.
Pamoja na kero nyingi za wenza wetu lakini penzi kufa kabisa sio rahisi kwa muda mfupi hivyo.

Huyu karogwa na mchepuko, au ushamba wake tu hajui kuhandle michepuko anazama mzima mzima bila kufikiria madhara yake.

Mwambie sasa achukue huyo mchepuko awe mke wake utaona anarudi baada ya miaka miwili atakwambia afadhali ya mke wake aliyemwacha na anataka kumrudia.

Mapenzi haya nyoko sana.
 
Haya ulitakiwa uyajue kabla ujamuoa, hata hao wengine ukiwaleta nyumbani hautawafurahia.

Jifunze kuchagua kupenda mwanamke bila sababu, maana kuna wakati hutakuwa na sababu.

Imeputa hiyo, huyo ni wa kwako, huna namna tena zaidi ya kuvumilia kuishi naye.
Hamna anayependa bila sababu, labda Mungu pekeyake.
 
Hamna anayependa bila sababu, labda Mungu pekeyake.

Uache upumbavu, at some stage kila ndoa upendo unaisha, unachagua penda mke sababu:

1. Una watoto.
2. Mmeshaishi pamoja.
3. Hutaki kuhangaika.

Asikudanganye mfu, kuna wakati kila ndoa upendo unaisha kabisa, lakini unachagua kumpenda bil sababu kwa ajili ya mazingira.

Nenda basi kaishi na hao unaoona wanafaa, ukiisha endelea kutafuta wengine....
 
Uache upumbavu, at some stage kila ndoa upendo unaisha, unachagua penda mke sababu:

1. Una watoto.
2. Mmeshaishi pamoja.
3. Hutaki kuhangaika.

Asikudanganye mfu, kuna wakati kila ndoa upendo unaisha kabisa, lakini unachagua kumpenda bil sababu kwa ajili ya mazingira.

Nenda basi kaishi na hao unaoona wanafaa, ukiisha endelea kutafuta wengine....
Sijui kipi kilicho kufanya unitukane ila hamna shida. Ulipoongelea at that point ulichokisema umechagua kusurvive nasio kuishi. Upendo is never a last option kama ni last option basi ni survival kwasababu ya majukumu but not living.
 
Ukishapata mchepuko ndio basi tena Kwa mke wako, hata Mimi kimepita kipindi hapo nyuma nilipewa mapenzi motomoto na mchepuko aaah mbona mke wangu nilimchukia ghafla, lakini nikwambie tu kuwa ukishajua Nani ni zaidi ya na ukitazama umuhimu wa mke basi hizo chuki zitaisha.

Kingine punguza mapenzi kwa mchepuko na wekeza ndani jitihada zode unazowekeza nje, maana ndani ndio msingi wako.

Mke ni mke tu kamwe mchepuko hauwezi mzidi mke.
Kwa niaba ya Wake wote tunakuombea uingie peponi bila hesabu.
 
Habari.

Mimi hata sielewi nimejikuta namchukia mke wangu.

Nashindwa kuelewa hali hii inasababishwa na nini?

In summarry.

Sogeza tukae kwa miaka miwili sasa na tuna mtoto mmoja.

Changamoto kubwa iliyopo.

1.Kinyongo

2.Ana weka jambo moyoni yaani ukimkosea hakuna unachokipata tena kutoka kwake na kitu kikiwa kidogo atakikuza.

3.Sio mtu wa kujiongeza,yaani kila kitu anahitaji kutoka kwako.jambo dogo linalohifaji low reasoning ila linamsumbua.

4.kauli yake tukigombana kila siku kama vipi tuachane ,niache sitashindwa kulea mtoto nadhani malezi ya SINGO MAMA YAMEMUATHIRI.

5.Kuninyima tendo ndo anajua dawa kumbe mimi ninamcheat tu na yeye ndo anasababisha.

Kiukweli nina mengi jamani ya kusema.

Moyo unauma na kuumia.

Nawafurahia wanawake wengine ila sio mke wangu
Mpige chini chap!
 
Haya ulitakiwa uyajue kabla ujamuoa, hata hao wengine ukiwaleta nyumbani hautawafurahia.

Jifunze kuchagua kupenda mwanamke bila sababu, maana kuna wakati hutakuwa na sababu.

Imeputa hiyo, huyo ni wa kwako, huna namna tena zaidi ya kuvumilia kuishi naye.
Akili kubwa sana hii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom