Habari.
Mimi hata sielewi nimejikuta namchukia mke wangu.
Nashindwa kuelewa hali hii inasababishwa na nini?
In summarry.
Nimefunga nae ndoa tuna miaka miwili sasa na tuna mtoto mmoja.
Changamoto kubwa iliyopo.
1.Kinyongo
2.Ana weka jambo moyoni yaani ukimkosea hakuna unachokipata tena kutoka kwake na kitu kikiwa kidogo atakikuza.
3.Sio mtu wa kujiongeza,yaani kila kitu anahitaji kutoka kwako.jambo dogo linalohifaji low reasoning ila linamsumbua.
4.kauli yake tukigombana kila siku kama vipi tuachane ,niache sitashindwa kulea mtoto nadhani malezi ya SINGO MAMA YAMEMUATHIRI.
5.Kuninyima tendo ndo anajua dawa kumbe mimi ninamcheat tu na yeye ndo anasababisha.
Kiukweli nina mengi jamani ya kusema.
Moyo unauma na kuumia.
Nawafurahia wanawake wengine ila sio mke wangu
Huyu ni kama wenzie wengi anaoa ili apate mtu wa kumpikia na kumfulia nguo.Ulimuoa kwa tamaa tu au kwakulazimishwa. Ila chakwanza jiulize ulimuoa kwa malengo gani?
Bila shaka itakua umepata mchepuko
Pipo knoo how to kweshonii...... Et mna umri gan?Kuna kitu bado hujakizungumza. mnaumri gani?
Utakuta tunapambana na watoto 2008 hujui unaanzia wapi,sifa ya mwanaume nikuwa na misimamo na mamlaka sasa wew mwanamke akunyime unyumba na na maneno ya ajabu ajabu ulitaka umshauri vipi bila kuuliza umri wake tujue ni mtoto wa kiume au mwanaumePipo knoo how to kweshonii...... Et mna umri gan?
Hamna anayependa bila sababu, labda Mungu pekeyake.Haya ulitakiwa uyajue kabla ujamuoa, hata hao wengine ukiwaleta nyumbani hautawafurahia.
Jifunze kuchagua kupenda mwanamke bila sababu, maana kuna wakati hutakuwa na sababu.
Imeputa hiyo, huyo ni wa kwako, huna namna tena zaidi ya kuvumilia kuishi naye.
Hamna anayependa bila sababu, labda Mungu pekeyake.
😂😂😂Bado hujasema
Sijui kipi kilicho kufanya unitukane ila hamna shida. Ulipoongelea at that point ulichokisema umechagua kusurvive nasio kuishi. Upendo is never a last option kama ni last option basi ni survival kwasababu ya majukumu but not living.Uache upumbavu, at some stage kila ndoa upendo unaisha, unachagua penda mke sababu:
1. Una watoto.
2. Mmeshaishi pamoja.
3. Hutaki kuhangaika.
Asikudanganye mfu, kuna wakati kila ndoa upendo unaisha kabisa, lakini unachagua kumpenda bil sababu kwa ajili ya mazingira.
Nenda basi kaishi na hao unaoona wanafaa, ukiisha endelea kutafuta wengine....
Kwa niaba ya Wake wote tunakuombea uingie peponi bila hesabu.Ukishapata mchepuko ndio basi tena Kwa mke wako, hata Mimi kimepita kipindi hapo nyuma nilipewa mapenzi motomoto na mchepuko aaah mbona mke wangu nilimchukia ghafla, lakini nikwambie tu kuwa ukishajua Nani ni zaidi ya na ukitazama umuhimu wa mke basi hizo chuki zitaisha.
Kingine punguza mapenzi kwa mchepuko na wekeza ndani jitihada zode unazowekeza nje, maana ndani ndio msingi wako.
Mke ni mke tu kamwe mchepuko hauwezi mzidi mke.
Mpige chini chap!Habari.
Mimi hata sielewi nimejikuta namchukia mke wangu.
Nashindwa kuelewa hali hii inasababishwa na nini?
In summarry.
Sogeza tukae kwa miaka miwili sasa na tuna mtoto mmoja.
Changamoto kubwa iliyopo.
1.Kinyongo
2.Ana weka jambo moyoni yaani ukimkosea hakuna unachokipata tena kutoka kwake na kitu kikiwa kidogo atakikuza.
3.Sio mtu wa kujiongeza,yaani kila kitu anahitaji kutoka kwako.jambo dogo linalohifaji low reasoning ila linamsumbua.
4.kauli yake tukigombana kila siku kama vipi tuachane ,niache sitashindwa kulea mtoto nadhani malezi ya SINGO MAMA YAMEMUATHIRI.
5.Kuninyima tendo ndo anajua dawa kumbe mimi ninamcheat tu na yeye ndo anasababisha.
Kiukweli nina mengi jamani ya kusema.
Moyo unauma na kuumia.
Nawafurahia wanawake wengine ila sio mke wangu
Akili kubwa sana hiiHaya ulitakiwa uyajue kabla ujamuoa, hata hao wengine ukiwaleta nyumbani hautawafurahia.
Jifunze kuchagua kupenda mwanamke bila sababu, maana kuna wakati hutakuwa na sababu.
Imeputa hiyo, huyo ni wa kwako, huna namna tena zaidi ya kuvumilia kuishi naye.