Achana na huo ushauri mwanaume wa kweli lazima awe mhongajiHaya, kaa mkao wa kula.
Ila mmmmnh! Ushauri wote niliopewa haujanisaidia.
Anyway wewe ndio utakuwa mtu wangu wa mwisho then naacha hii kitu ya kuhonga.
HahahahaaaaAchana na huo ushauri mwanaume wa kweli lazima awe mhongaji
AsanteSaf wew ni mfano wa kuigwa kabisaaaaa
Ushamba tu huo..!Ninahonga kupitiliza.Mwanamke akiniomba pesa niko radhi nishinde njaa kuliko kumyima pesa.Niko radhi nikope, niko radhi niombe ombe ilimradi nimridhishe.
Juu ya yote kwa kupingwa vibuti ninaongoza.Kila siku naachwa licha ya kuwa nina huruma.Sijui nimerogwa, yani vijicenti vyangu vyote vinakwenda tu.