Nataka jamaa akuhonge khantwe...ila usimpe....naniiJamani...ukimaanishaje
Nataka jamaa akuhonge khantwe...ila usimpe....naniiJamani...ukimaanishaje
Nihonge wewe basi mkuuNataka jamaa akuhonge khantwe...ila usimpe....nanii
sawa uje inbox ila samahani mimi huwa sihongi za mboga....huwa nahonga vitu vikubwa kubwa tuuu...napenda sana sana kuhonga Aiseee haswa ukute ndo nimekufaa Aisee hadi salary slip nakupa uhakikishe....Nihonge wewe basi mkuu
Miss Natafuta mrukie hewani naona huyu yuko simple sanaNinahonga kupitiliza.Mwanamke akiniomba pesa niko radhi nishinde njaa kuliko kumyima pesa.Niko radhi nikope, niko radhi niombe ombe ilimradi nimridhishe.
Juu ya yote kwa kupingwa vibuti ninaongoza.Kila siku naachwa licha ya kuwa nina huruma.Sijui nimerogwa, yani vijicenti vyangu vyote vinakwenda tu.
Acha maneno hebu rusha sasa hivi ka laki mbili kwenye 0625763405Sawa uje inb
sawa uje inbox ila samahani mimi huwa sihongi za mboga....huwa nahonga vitu vikubwa kubwa tuuu...napenda sana sana kuhonga Aiseee haswa ukute ndo nimekufaa Aisee hadi salary slip nakupa uhakikishe....
Umeharibu sana sana Aiseee usiweke namba hapa banaaa hata hamu ya kurusha imeisha kwasababu naweza kupata upinzani Mkali....nitumie ile ya tiGO Bana aachana na hii halotel...nitumie inbox jaribu uone miujiza ya Tatu Mzukaaa....Acha maneno hebu rusha sasa hivi ka laki mbili kwenye 0625763405
Hahahaa visingizio .com[emoji23] [emoji23] we shida nini hebu rusha huko tigo sina. Usiogope ushindani sio kila mtu ana kipaji cha kuhongaUmeharibu sana sana Aiseee usiweke namba hapa banaaa hata hamu ya kurusha imeisha kwasababu naweza kupata upinzani Mkali....nitumie ile ya tiGO Bana aachana na hii halotel...nitumie inbox jaribu uone miujiza ya Tatu Mzukaaa....
BUT Next time mimi huwa napenda kutuma kwa A/C No ya Exim au Standard...but you can text me haina shida...
Hahahaa! Tupo wengi wenye vipaji,Hahahaa visingizio .com[emoji23] [emoji23] we shida nini hebu rusha huko tigo sina. Usiogope ushindani sio kila mtu ana kipaji cha kuhonga
Ee fanya alichoshindwa mwenzioHahahaa! Tupo wengi wenye vipaji,
Ngoja me nianze
Haya, kaa mkao wa kula.Ee fanya alichoshindwa mwenzio