Ninahonga kupitiliza, mwenzenu nina nini?

Ninahonga kupitiliza, mwenzenu nina nini?

Joined
May 20, 2015
Posts
74
Reaction score
44
Ninahonga kupitiliza.Mwanamke akiniomba pesa niko radhi nishinde njaa kuliko kumyima pesa.Niko radhi nikope, niko radhi niombe ombe ilimradi nimridhishe.

Juu ya yote kwa kupingwa vibuti ninaongoza.Kila siku naachwa licha ya kuwa nina huruma.Sijui nimerogwa, yani vijicenti vyangu vyote vinakwenda tu.
 
Ninahonga kupitiliza.Mwanamke akiniomba pesa niko radhi nishinde njaa kuliko kumyima pesa.
Niko radhi nikope, niko radhi niombe ombe ilimradi nimrizishe.
Juu ya yote kwa kupingwa vibuti ninaongoza.Kila siku naachwa licha ya kuwa nina huruma.
Sijui nimerogwa, yani vijicent vyangu vyote vinakwenda tu.
muone mchungaji/shehe aliyekaribu nawe utapata jawabu
 
Poapoa kabisa kibaridi tu huku nilipo
Duh!!....

Pole sana mamy

Kuna mdau mmoja kasema sijui upo wapi na mtu asiyejulikana sijui unafanya nini vile kapeace [emoji1] [emoji1]

Jamaa anakutuhumu sana mkuu [emoji125]
 
Back
Top Bottom