stevoh JF-Expert Member Dec 5, 2011 2,921 1,104 Jan 3, 2014 #1 Husika na kichwa cha habari hapo juu.. Nahitaji nokia e series yoyote kwa haraka mwenye nayo aniambie na bei.. Au kama unaweza nitext kwa namba 0758158730
Husika na kichwa cha habari hapo juu.. Nahitaji nokia e series yoyote kwa haraka mwenye nayo aniambie na bei.. Au kama unaweza nitext kwa namba 0758158730
Maberere JF-Expert Member Aug 16, 2012 316 93 Jan 3, 2014 #3 ngosha2011 said: ipo e52 mpya kwa laki na 20 Click to expand... mkuu nina pungufu ila naihtaji hiyo simu!
ngosha2011 said: ipo e52 mpya kwa laki na 20 Click to expand... mkuu nina pungufu ila naihtaji hiyo simu!
ngosha2011 JF-Expert Member Aug 20, 2011 681 87 Jan 3, 2014 #4 Maberere said: mkuu nina pungufu ila naihtaji hiyo simu! Click to expand... mkuu haipungui hiyo maana ipo safi kasoro box tu
Maberere said: mkuu nina pungufu ila naihtaji hiyo simu! Click to expand... mkuu haipungui hiyo maana ipo safi kasoro box tu
amu JF-Expert Member Aug 8, 2012 16,103 30,992 Jan 4, 2014 #5 ninayo hapa miaka kibao natesa nayo e75 sitegemei kuiuza wala kuigawa labda waikwapue. Simu imara sana
ninayo hapa miaka kibao natesa nayo e75 sitegemei kuiuza wala kuigawa labda waikwapue. Simu imara sana
Eshacky JF-Expert Member Apr 26, 2011 965 244 Jan 4, 2014 #6 amu said: ninayo hapa miaka kibao natesa nayo e75 sitegemei kuiuza wala kuigawa labda waikwapue. Simu imara sana Click to expand... na inamuonekano mzuri sana.
amu said: ninayo hapa miaka kibao natesa nayo e75 sitegemei kuiuza wala kuigawa labda waikwapue. Simu imara sana Click to expand... na inamuonekano mzuri sana.
2k Genius Member Feb 27, 2011 88 9 Jan 4, 2014 #7 Eshacky said: na inamuonekano mzuri sana. Click to expand... sasa unaisema ya nn kama huuzi???