captain dunga
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 282
- 627
Habari wakuu..
Nimepatwa na matatizo makubwa sana ya kifamilia, kiasi kwamba nimemaliza akiba yote niliyojiwekea bank.
Nina shida ya haraka na mkopo wa TZS 350,000/=.
Nitazirejesha Kwa riba ya 50,000..
Dhamana nitaweka vyeti vyangu vya elimu yaani... FORM FOUR, CERTIFICATE ,DIPLOMA pamoja na CHETI CHANGU CHA KUZALIWA.
Natanguliza shukrani.
Nimepatwa na matatizo makubwa sana ya kifamilia, kiasi kwamba nimemaliza akiba yote niliyojiwekea bank.
Nina shida ya haraka na mkopo wa TZS 350,000/=.
Nitazirejesha Kwa riba ya 50,000..
Dhamana nitaweka vyeti vyangu vya elimu yaani... FORM FOUR, CERTIFICATE ,DIPLOMA pamoja na CHETI CHANGU CHA KUZALIWA.
Natanguliza shukrani.