Ninahisi mwana anafanya shughuli haramu

Ninahisi mwana anafanya shughuli haramu

umeongea jambo zuri litakusaidia likitokea lolote wanadili na wewe jinsi polisi wetu walivofundishwa mwaka 1935 kabla ya kumpata.

Kuna kisa kimoja jamaa alikuwa anapenda kula bata na washikaji zake kumbe kazi wanazofanya ajui basi siku polisi wanawatafuta wakadakwa naye.walikuwa watu wabunduki uzuri wale majaa waka mkataa sio wao na wala hausiki ndio ponea ponea yake ila walimtengua kiuno.
 
umeongea jambo zuri litakusaidia likitokea lolote wanadili na wewe jinsi polisi wetu walivofundishwa mwaka 1935 kabla ya kumpata.

Kuna kisa kimoja jamaa alikuwa anapenda kula bata na washikaji zake kumbe kazi wanazofanya ajui basi siku polisi wanawatafuta wakadakwa naye.walikuwa watu wabunduki uzuri wale majaa waka mkataa sio wao na wala hausiki ndio ponea ponea yake ila walimtengua kiuno.

Unaona mkuu
 
Yule ana pakuliwa tako na manyangumi babu kaa nae mbali ipo siku ata kushawishi ufukuliwe mfereji na manyangumi shauri yako
 
Sio mbaya kuwa na wasiwasi nae ila ni kwamba tu kwa sasa pesa inapatikana kwa njia nyingi mno na sio zote ni haramu au halali bali kuna nyingine pia zina aibu ndani yake pengine ndo maana hawezi kukuambia, zingine ni rahisi ila hataki tu kukuambia maana atakupa connection so, ni wewe ku-play part yako tu maana hata kama ni haramu wewe haitokuhusu. Mwisho kabisa ACHA WIVU.
 
Kijana kwa thread zako za nyuma,n'a wewe ni mchele mchele wanakukula kisamvu
 
Naomba niende straight kwenye point, kuna mshikaji wangu age ya miaka 23 hivi, tokea nifahamiane nae ni kama mwaka hivi. Toka tufahamiane tumekuwa na bond sana kwenye clubs au sehemu za bata ndogo ndogo huwa tunaenda ila mara nyingi huwa ninagharamia bills kwa maana yeye huwa kazi hana alikuwa anafanya kazi katika company moja hivi bahati mbaya ikafungwa so akawa hana mishe.

Sasa cha kushangaza siku hizi mwana naona anapiga picha yupo hoteli nzito nzito akiwa na taulo anakula maisha pembeni yupo na vinywaji, mimi najua hana mishe za kumpeleka huko, ukimuuliza anakuambia kawaida tu, sasa juzi naona anamiliki macho matatu, nikashtuka mtu alikuwa anatumia tecno leo ana simu ya milioni mbili na ,nimeshangaa sana.

Nataka nianze kujitenga nae inawezekana anafanya shughuli haramu hasa huko kwenye mahoteli sometimes yupo Zanzibar yaaani sehemu za bata bata tu halafu kazi hana, Isije ikatokea ya kutokea na mimi nikawa involved
Excuse him if his drink right now is your rent.
 
Akiona unamfatilia sana atakuambia Kuna jimama linamtunza lakini ukijiongeza kidogo utagundua kuna watu wa DAWASCO wanachimbua mtaro. Akili mukichwa.

Hii ya kusema eti majimama yanatoa hela aisee wanawake no mabahili sana very few huwa wanahonga kwa ajili ya kuliwa.

Hawa vijana wasikudanganye huyo utakuja kusikia tu hawezi kukaa straight lazima akalie Kota moja
Kota moja..... hii nimeipenda
 
Naomba niende straight kwenye point, kuna mshikaji wangu age ya miaka 23 hivi, tokea nifahamiane nae ni kama mwaka hivi. Toka tufahamiane tumekuwa na bond sana kwenye clubs au sehemu za bata ndogo ndogo huwa tunaenda ila mara nyingi huwa ninagharamia bills kwa maana yeye huwa kazi hana alikuwa anafanya kazi katika company moja hivi bahati mbaya ikafungwa so akawa hana mishe.

Sasa cha kushangaza siku hizi mwana naona anapiga picha yupo hoteli nzito nzito akiwa na taulo anakula maisha pembeni yupo na vinywaji, mimi najua hana mishe za kumpeleka huko, ukimuuliza anakuambia kawaida tu, sasa juzi naona anamiliki macho matatu, nikashtuka mtu alikuwa anatumia tecno leo ana simu ya milioni mbili na ,nimeshangaa sana.

Nataka nianze kujitenga nae inawezekana anafanya shughuli haramu hasa huko kwenye mahoteli sometimes yupo Zanzibar yaaani sehemu za bata bata tu halafu kazi hana, Isije ikatokea ya kutokea na mimi nikawa involved
Usijekuta ameamua kuwa bwabwa la watalii wazungu huko mahotelini!!!
 
Hajamla, ni Mwanangu hawezi nificha huyo boss anaishi hizi nyumba za GSM zipo pale round about ya Whitesands. Jambo lingine alimuuliza kama anaeza pata demu alafu aende nae kwenye apartment amchakate mbususu yeye akiwa anaangilia. Anasema anakuwa na Furaha akiona mwanaume anachakata mbususu mbele yake.
Kwan huyo mwarabu aijui pornhub?
 
Naomba niende straight kwenye point, kuna mshikaji wangu age ya miaka 23 hivi, tokea nifahamiane nae ni kama mwaka hivi. Toka tufahamiane tumekuwa na bond sana kwenye clubs au sehemu za bata ndogo ndogo huwa tunaenda ila mara nyingi huwa ninagharamia bills kwa maana yeye huwa kazi hana alikuwa anafanya kazi katika company moja hivi bahati mbaya ikafungwa so akawa hana mishe.

Sasa cha kushangaza siku hizi mwana naona anapiga picha yupo hoteli nzito nzito akiwa na taulo anakula maisha pembeni yupo na vinywaji, mimi najua hana mishe za kumpeleka huko, ukimuuliza anakuambia kawaida tu, sasa juzi naona anamiliki macho matatu, nikashtuka mtu alikuwa anatumia tecno leo ana simu ya milioni mbili na ,nimeshangaa sana.

Nataka nianze kujitenga nae inawezekana anafanya shughuli haramu hasa huko kwenye mahoteli sometimes yupo Zanzibar yaaani sehemu za bata bata tu halafu kazi hana, Isije ikatokea ya kutokea na mimi nikawa involved
Kuna mwana tulikuwa naye mitaa ya kigogo Luhanga...
Yule jamaa akahama koz alikuwa anakaa na mama wa kambo amabye alikuwa anamtesa akahamia kinondoni....siku nimekutana naye baada ya miaka kadhaa alikuwa nywele kaweka dawa....anavaa kama wakongo...Sasa ukijimlisha na mambo ya kinondoni na alikuwa na mwili wa nyama nyama hivi..watu wakamzushia kuwa ni shoga. Sasa sijui yeye alichukuliaje...sisi tuliyekuwa naye tunafahamu hakuwa na hayo mambo utotoni kabisaaaaa..

Akawa kuna baa anapenda kuja kunywa pale mtaani ile mambo ya kuweka heshima baa...tena ya mtaani alipokulia...baada ya miezi kama nane ile baa ikapigwa tukio na majambazi....hakuna aliye mdhania mshkaj hata kidogo....

Mwaka 2018 nakutana na mwana tuliyekuwa wote utotoni ktk maongezi akaniambia mshikaj alishawai kumfuata na kumshawishi waingie ktk ujambazi na wa kutumia silaha za ncha kali.
Nikaja unganisha matukio kuhisi inawezekana jamaa aliona kitu cha kujifichia ktk uovu ninkuonekana kama shoga shoga kumbe ana ficha mambo fulani.

Kuwa makini na huyo jamaa inawezekana anachokuonesha ndicho anachotaka ukiamini.
 
Hajamla, ni Mwanangu hawezi nificha huyo boss anaishi hizi nyumba za GSM zipo pale round about ya Whitesands. Jambo lingine alimuuliza kama anaeza pata demu alafu aende nae kwenye apartment amchakate mbususu yeye akiwa anaangilia. Anasema anakuwa na Furaha akiona mwanaume anachakata mbususu mbele yake.
To much details...
 
Naomba niende straight kwenye point, kuna mshikaji wangu age ya miaka 23 hivi, tokea nifahamiane nae ni kama mwaka hivi. Toka tufahamiane tumekuwa na bond sana kwenye clubs au sehemu za bata ndogo ndogo huwa tunaenda ila mara nyingi huwa ninagharamia bills kwa maana yeye huwa kazi hana alikuwa anafanya kazi katika company moja hivi bahati mbaya ikafungwa so akawa hana mishe.

Sasa cha kushangaza siku hizi mwana naona anapiga picha yupo hoteli nzito nzito akiwa na taulo anakula maisha pembeni yupo na vinywaji, mimi najua hana mishe za kumpeleka huko, ukimuuliza anakuambia kawaida tu, sasa juzi naona anamiliki macho matatu, nikashtuka mtu alikuwa anatumia tecno leo ana simu ya milioni mbili na ,nimeshangaa sana.

Nataka nianze kujitenga nae inawezekana anafanya shughuli haramu hasa huko kwenye mahoteli sometimes yupo Zanzibar yaaani sehemu za bata bata tu halafu kazi hana, Isije ikatokea ya kutokea na mimi nikawa involved
Acha umama ww!!kwahyo unataka aendelee kuwa maskin tu ili uwe unamlipia hizo bills?? Ukiendelea kuwa na tabia hizi utakua mchawi
 
Hii kama kuna Mama mmoja nae nilikua nafahamiana nae, hali yake ilikua si nzuri kiuchumi.... hadi Kodi wakati mwingine kwake ilikua changamoto, mara ghafla mambo yakabadilika..... kanichosha zaidi kuna siku aliniuliza HIVI NI WAPI NAWEZA KUPATA RAMANI YA GHOROFA 3 nikaona kweli sio poa maisha, huyu aliyekua hata Kodi ya Chumba chake kinamshinda leo hii anaulizia RAMANI YA GHOROFA 3 AJENGE!!!!!! Ila kikubwa kila Mtu na maisha yake nikaamua nipite kivyangu
 
Hii kama kuna Mama mmoja nae nilikua nafahamiana nae, hali yake ilikua si nzuri kiuchumi.... hadi Kodi wakati mwingine kwake ilikua changamoto, mara ghafla mambo yakabadilika..... kanichosha zaidi kuna siku aliniuliza HIVI NI WAPI NAWEZA KUPATA RAMANI YA GHOROFA 3 nikaona kweli sio poa maisha, huyu aliyekua hata Kodi ya Chumba chake kinamshinda leo hii anaulizia RAMANI YA GHOROFA 3 AJENGE!!!!!! Ila kikubwa kila Mtu na maisha yake nikaamua nipite kivyangu

Hahahha Mbona kwa wanawake fresh tu mkuu,anauza nyapu.
 
Ngoja nikwambie kitu mzee.. wasikudanganye sijui una wivu, sijui nini, trust sana your insticts, huwa hazidanganyi. Pesa ni ngumu mno mtaani kwa sasa hivi, yaani ngumu mno hizo hela za bata, simu macho matatu kwa kipindi cha muda ulioandika sio rahisi kuzipata hivyo bila kazi ya halali inayoonekana (japo na kwa hali ya biashara sasa hivi aio rahisi pia) watafutaji naamini wananielewa

kama sio mambo ya kishenzi kajiingiza basi unga.. kuna mstari mwembamba sana kati ya hayo na vijana sisi kwa sasa hvi.. narudia trust your insticts
 
Back
Top Bottom