- Thread starter
- #61
kwa web mostly natumia templates zilizotayari kama wordpress,joomla,modx etc,but for web applications nilizotengeneza nanza mwanzo kabisa.
Anzisha Uzi wako ili utangaze mambo yako Vizuri kama na huyu mtoa mada alivyofanya. Kuvamia Uzi wa tangazo la mtu na kupachika matangazo yako ni USHAMBA.sio wizi wala utapeli ,hujui mana ya open source mzee..pia hujui template ni nn