Inbox ipi? PM au umenitumia text?Powa jembe.. icheki inbox
OK mkuu,nimekutumia email.
Wakuu,mambo vipi! Mimi ni Mtaalamu wa Computer, Nina Bachelor Degree in Computer Science. Nipo Dar Es Salaam. Kwa sasa Ninafundisha kwenye Chuo kikuu kimojawapo hapa Dar.
Ninafundisha MTU mmoja mmoja au group la watu mambo yafuatayo:
Computer Programming: Java, Python, Php, C,C++,Visual Basic
Web Development: Php,JavaScript, HTML ,CSS
Database: Mysql, SQL,MongoDB
Cms:Joomla,WordPress, Blog
Kwa lugha rahisi nitakufundisha:
(a) Kutengeneza Web Applications
(b) Kutengeneza Software
(c) Kutengeneza Website na Blog
Mambo yote yanafanyika KIVITENDO,PRACTICALLY Kabisa ukishuhudia.
Mazingira ya Kujifunzia Yapo tayari,Computer Zipo za kutosha Na hata ukihitaji nikufuate ulipo nitafanya hivyo.
Bei ni Rahisi na ni maelewano kutokana na unachotaka kusoma. Namba zangu ni 0718 392 735 na 0787 130 836
Tuwasiliane na Karibuni tupige Code.
mi pia nafanya hizo training na sample website project zangu ni, www.must.ac.tz , www.mimimjasiriamali.com , www.wamicollege.ac.tz ,.Wewe mwenyewe umeisha wahi kutengeneza Web - Based application yoyote labda ili utupe link tuone kama tunaweza rely on you?
Sijaiona hiyo email yako mkuu.....NIMEIPATA NA NIMESHA REPLY
YES...Nimetengeneza Web Based Applications kwa Baadhi ya makampuni ya hapahapa Dar na Wamezihost kwenye LAN za wateja wao ( Intranet), so Unfortunatelly you can't access them online.Wewe mwenyewe umeisha wahi kutengeneza Web - Based application yoyote labda ili utupe link tuone kama tunaweza rely on you?
Kila mtu, hata ambaye sio mwana IT,kama ana Interest ya kutengeneza Web Applications, Kutengeneza Software,Kutengeneza Websites na Kutengeneza Systems za namna mbalimbali anakaribishwa.Waelengwa hapa ni wale kidogo wenye mwanga na IT na Computer science
Wengine wacha tutulie tu au tunaweza kwenda sawa.
YES...Nimetengeneza Web Based Applications kwa Baadhi ya makampuni ya hapahapa Dar na Wamezihost kwenye LAN za wateja wao ( Intranet), so Unfortunatelly you can't access them online.
But,I have them in my computer and I'M READY TO DEMONSTRATE THEM TO YOU anytime ukihitaji, Ili u-prove uwezo wangu practically.
Mojawapo ya Systems Nilizotengeneza:
=>Accounting Web Application
=>Hospital Management System
=>School Management System
And I'm cureently working on my own project, The Stock Management Application ambayo itakamilika ndani ya mwezi huu na itakuwa online.
Ok poa poa mkuu,karibu SanaBasi sawa, nimekuelewa. Nimeisha chukua namba zako nitakucheki soon after Easter.
Unatumia templates, au unaunda mwenyewe from the scratch. nimeona hapa ni kama umetumia templates za watu za wordpress.mi pia nafanya hizo training na sample website project zangu ni, www.must.ac.tz , www.mimimjasiriamali.com , www.wamicollege.ac.tz ,.
if interested check me:0713449245 (available in DSM)
Powered by WordPress | Theme Designed by: Uniform tax Refund | Thanks to uniforom tax refund, fireman uniform tax rebate and uniform tax rebate
Kama anatumia template huo ni utapeli Wa waziwazi.Unatumia templates, au unaunda mwenyewe from the scratch. nimeona hapa ni kama umetumia templates za watu za wordpress.
Mkuu Troll JF,Mimi nimeanzisha uzi na kuweka tangazo langu. Situmii template yoyote.Kama anatumia template huo ni utapeli Wa waziwazi.
Mkuu mwaminifuhalisi, huyo jamaa aliyeweka hizo websites za template SIO MIMI MUANZISHA UZI.Unatumia templates, au unaunda mwenyewe from the scratch. nimeona hapa ni kama umetumia templates za watu za wordpress.
Nimekuelewa nilikuwa sijaangalia vizuri, samahani sana mkuu.Mkuu mwaminifuhalisi, huyo jamaa aliyeweka hizo websites za template SIO MIMI MUANZISHA UZI.
Ni mdau mwingine aliyevamia Uzi wangu na kuanza kutangaza mambo yake.
Mimi situmii templates, I'm a Coder....and I do it from Scratch na ninamfundisha mtu kuandika Code from Scratch.
Naomba hilo lieleweke mkuu.
Mkuu South, Ninafundisha pia hata kwa walioko mbali/mikoani.Natamani sana kusoma hizi vitu ila niliko hakuna wataalam