Ninafeli wapi? Wana jamvi karibuni kwa ushauri

Ninafeli wapi? Wana jamvi karibuni kwa ushauri

Moja kwa moja kwenye mada..

Kuna binti mmoja nampenda sana na hata yeye analijua hilo nili mu approach tena nikiwa serious kwamba nataka kumuoa. Alinikatalia juu ya ombi langu hilo.

Kama kawaida wanaume sisi ni ving'ang'anizi niliendelea kumshawishi ukaribu ukazidi mpaka nikapewa tunda nikawa natafuna. Ni miezi tisa sasa nambandua na tunatoka out several times kula raha hata wiki nzima tunaweza jichimbia somewhere hasa anapokua likizo ( maana yeye ni mtumishi wa serikali).

Cha ajabu ni kuwa pamoja na yote tunayofanya bado hajakubali kuolewa na mimi.

Sijajua nafeli wapi mpaka sasa hivi maana amekataa kabisa pamoja na kuwa yeye mwenyewe anathibitisha kuwa nina uwezo wa kulea familia.

Mwanzoni niliwaza kwamba labda alinipenda ili atumie hela zangu tu lakini No sio mpenda pesa kiivyo maana hata baadhi ya gharama hutoa mwenyewe na huninunulia zawadi za thamani tu mpaka nashindwa kuelewa anataka nini.

Wadau na wajuzi wa mambo hebu nisaidieni anataka nini huyu kama kuolewa amekataa?

Ninafeli wapi mimi kumchukua huyu mtoto?
Kuna jamaa yake mwingine ambaye ana mpenda kwa dhati na wana ahadi ya kuona..so kwako anapunguza genye tu Mkuu. Usiforce itakukost Mkuu
 
Mkuu naona kwenye kikao kilichopta hukuwepo, anyway ngoja nkupe mrejesho, mwanaume usiwe mwepes wa kuonyesha Nia ya kuoa, yeye akuulize unataka kunioa au kunichezea ??. Bt hapo huyo dada anakuchezea.
 
hivi wanaotoa solutions kama “mpe mimba” kwani mwisho wa siku anayeibeba hiyo mimba ni nani? Si mpak aamue kuibeba kama hajaamua je?
 
Advice from the experience,
Huyo ana mtu ambaye ana malengo naye tayari na anakuja kwako kwa ajiri ya kupata sex tu.
Endelea kutumia lakini tafuta mwingine huyo siyo wako.
Au bado hujatimiza vigezo vyake vingine zaid ya hiyo sex ambayo ndo imemuweka kwako.
Ukimpa moyo utakuja kulia vizur sana tu. Huyo ana mtu.
 
Moja kwa moja kwenye mada..

Kuna binti mmoja nampenda sana na hata yeye analijua hilo nili mu approach tena nikiwa serious kwamba nataka kumuoa. Alinikatalia juu ya ombi langu hilo.

Kama kawaida wanaume sisi ni ving'ang'anizi niliendelea kumshawishi ukaribu ukazidi mpaka nikapewa tunda nikawa natafuna. Ni miezi tisa sasa nambandua na tunatoka out several times kula raha hata wiki nzima tunaweza jichimbia somewhere hasa anapokua likizo ( maana yeye ni mtumishi wa serikali).

Cha ajabu ni kuwa pamoja na yote tunayofanya bado hajakubali kuolewa na mimi.

Sijajua nafeli wapi mpaka sasa hivi maana amekataa kabisa pamoja na kuwa yeye mwenyewe anathibitisha kuwa nina uwezo wa kulea familia.

Mwanzoni niliwaza kwamba labda alinipenda ili atumie hela zangu tu lakini No sio mpenda pesa kiivyo maana hata baadhi ya gharama hutoa mwenyewe na huninunulia zawadi za thamani tu mpaka nashindwa kuelewa anataka nini.

Wadau na wajuzi wa mambo hebu nisaidieni anataka nini huyu kama kuolewa amekataa?

Ninafeli wapi mimi kumchukua huyu mtoto?
Pole mkuu huenda ana mume yuko mbali ila kwako yupo tu ili umpoze injini.
Vuta subira mchunguze vzr utajua tu nn sababu
 
naomba nmba yake ili nimkanye anapokosea yeye na pia niendeleee kuweka mkazo aelewe nia yako!..
 
Pole sana...

Hataki chochote, she is just not ready yet... expectations zako sii sawa na zake...

Kwa lugha ya kueleweka ni she likes you, but doesn't love you enough yet...


Cc: mahondaw
 
Piga mimba Huyo afu ,,,,,mlaghai ,,,,
AF uone atakataa kuolewa ama..
 
Back
Top Bottom